Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp hawa waarabu wakirejea January kwa Salah achukue mpunga ile chap atue kwa huyu dogo Khavicha ni kazi kazi ....

YNWA
Although hayo pia ni mawazo I respect that; ila Salah ni perfect RW or RF Sasa huyo khavicha tangu lini akacheza upande wa kulia?. Ni sawa na Leo hii Diaz umuhamishie upande wa kulia halafu utegemee output nzuri Never. Labda ungesema akina adeyemi au Bowen hao ndo khariba ya wachezaji kama Salah.
 
Ladder.png
 
Yuu aa raiti cop, nimesikia namna watangazaji walivyokuwa wanalitamka, ni kama hivyo

Hiyo z ya pili inatamkwa mkuu yaani s haiwi pekee yake kuna s nusu na z nusu zinaungwa hapo.!!! Kamsikilize youtube akilitamka jina lake. Ni kama ukifika s kuna ka nusu kituo flan kisha inaitamka na ka z kwa unusu wake. Kubeki wa Hungary anaitwa Szalai.!!! Hii sz kwao inavyotamkwa mtihani. Wengine wanatoa z wengine wanatoa s ilimradi iwe rahisi kutamka.
 
Daaa ila hawa watu wamempa sana pep pressure ,game ya moto hatari ...

Ilikuwa mechi ya dunia wakikutana pep na klopp. Mechi ina tension, mechi ni pressure tupu mwanzo hadi mwisho. It was a good race. Klopp arrogance imesababisha ashindwe kubeba makombe makubwa kwa kurudia.

Tusubiri tuone kama ushindani utarudi msimu huu kati ya City na Liverpool dalii zipo na kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom