Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,530
- 235,273
Na wewe unataka kutuponza?Klopp hawa waarabu wakirejea January kwa Salah achukue mpunga ile chap atue kwa huyu dogo Khavicha ni kazi kazi 🔥 ....
YNWA
Salah haondoki bwana, Hadi msimu uishe.
Na wewe unataka kutuponza?Klopp hawa waarabu wakirejea January kwa Salah achukue mpunga ile chap atue kwa huyu dogo Khavicha ni kazi kazi 🔥 ....
YNWA
Mie ntakuwa nasema tu kaka mpya mweupe🤣 🤣 🤣 🤣 Atupe kazi kazi hatuna neno na jina lake sie twajua namba 8 mridhi wa Keita au Steve G...
YNWA
Although hayo pia ni mawazo I respect that; ila Salah ni perfect RW or RF Sasa huyo khavicha tangu lini akacheza upande wa kulia?. Ni sawa na Leo hii Diaz umuhamishie upande wa kulia halafu utegemee output nzuri Never. Labda ungesema akina adeyemi au Bowen hao ndo khariba ya wachezaji kama Salah.Klopp hawa waarabu wakirejea January kwa Salah achukue mpunga ile chap atue kwa huyu dogo Khavicha ni kazi kazi [emoji91] ....
YNWA
Huyo Mwaisa mwenzio hajawahi kufika hata Anfield lakini anamponda hadi Mosdef ambaye pengine mechi zote kwa msimu yupo uwanjani 😄 🤣Malafyale anaonaga pekeyake ndiye anaipenda LFC
Kuliko hata MosDef aliyepo hukohuko uingereza.
Sasa wote si weupe? 😄Mie ntakuwa nasema tu kaka mpya mweupe
Huyo mweupe zaidi [emoji23]Sasa wote si weupe? [emoji1]
Ngoja aje.Huyo Mwaisa mwenzio hajawahi kufika hata Anfield lakini anamponda hadi Mosdef ambaye pengine mechi zote kwa msimu yupo uwanjani [emoji1] [emoji1787]
Kumbe ile z inamezwa?
Yah! 'Z' zote zinamezwa inabaki kama hivi [emoji116]
Szoboszlai = Soboslai
But I stand to be corrected [emoji120]
Yuu aa raiti cop, nimesikia namna watangazaji walivyokuwa wanalitamka, ni kama hivyo
Daaa ila hawa watu wamempa sana pep pressure [emoji28],game ya moto hatari ...
Nyakati nzuri sana huwa hazidumu muda mrefu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanafanya tujing'ate bure
Ngoja Bobby aje kunipiga pindi.
Usimgombanishe captain na Baba swaleh tu.Good morning [emoji274] Captain Marvelous
Mliobaki habarini za asubuhi
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app