Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
AmenTunamuombea apone kwa speed kama tunavyomuombea THIAGO
AmenTunamuombea apone kwa speed kama tunavyomuombea THIAGO
Bora hili jepesi kabisa.Halafu hata tukishangilia ushindi
Atakuja kujimilikisha ushindi na kuanza kutukataza kushangilia
Akijiita yeye pekeyake ndio fan halisi,
Kisa tunaikosoa team inapochemsha.
Haiingii akilini
Baba Swalehe anaumwa.
Tumuombee mwenzetu Mungu ampe afya njema na uponyaji.
BREAKING: Virgil van Dijk is banned for another match and fined £100,000
️
This happens after labelling the referee John Brooks' decision to send him off against
waingereza wanawabeba sana marefa wao kiasi wanaharibu mno kwenye maamuzi, kiasi cha FIFA kutowaamini kuwapa mechi za kidunia licha ya kuwa na leseni zao kwani leseni hazichezi. Alichosema VVD ni “fucking joke” akishangaa how can that be a red card???Kunakitu kizuri kinakuja na Salah amekiona ndomana katamani kubaki
Hapa gem naziona zinachelewa sana
MACA![]()
Moises Caicedo anapewa somo na kiungo mwenye World Cup yake kibindoni , hapo zime kutana £115m na £35mView attachment 2743462
Baada ya Mauzo ya Henderson ndiyo nimepata muda wa kurudi kwenye huu uzi ambao nilishautelekeza
Nazani upatikane mfungamano mzuri tu kule mbele team haina tatizo tena iliobaki ni kujazia tu.Karidhishwa na project ya sasa. Na ki ukweli ukiangalia inavutia sana. Kama tutapata DM January (especially Andrè) tutawaka sana msimu huu.
Chelsick wametuharibia sana mechi ya kwanza....Tunaanza na Wolves kuanzia pale tulipoishia last week
Bajcetic yupo lakin hamtumii yule dogo wakati kipindi tuna msimu mbaya yeye ndio alitunyanyua sana pale kati.Nazani upatikane mfungamano mzuri tu kule mbele team haina tatizo tena iliobaki ni kujazia tu.
Na hili lingewezekana kama Klopp angeamini vijana.
Anakera hata tukishinda na mechi tumeishika sub yake ni Milna Sasa kina Musialosky watazoea lini?
Anoldi alimkuta Rogers akimtumia tayali
Hii itakuwa kweli hii😅, kipara hajawahi kutufunga tukiwa na squad yetu full.Chelsick wametuharibia sana mechi ya kwanza....
Ila usiku nimeota tumemtandika Kipara 4 bila 😄 🤣, sijui tunakutana nao lini
Nazani upatikane mfungamano mzuri tu kule mbele team haina tatizo tena iliobaki ni kujazia tu.
Na hili lingewezekana kama Klopp angeamini vijana.
Anakera hata tukishinda na mechi tumeishika sub yake ni Milna Sasa kina Musialosky watazoea lini?
Anoldi alimkuta Rogers akimtumia tayali
Chelsick wametuharibia sana mechi ya kwanza....
Ila usiku nimeota tumemtandika Kipara 4 bila![]()
, sijui tunakutana nao lini
Bajcetic yupo lakin hamtumii yule dogo wakati kipindi tuna msimu mbaya yeye ndio alitunyanyua sana pale kati.
Kulitamka sasa!Dominic Szoboszlai nimelifanyia homework ya kutosha kuliandika kutoka tulipomsajili