Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool ni timu kubwa but sio timu yenye pull kubwa kwa wachezaji elewa Hilo
Narudia Tena football knowledge yako ni ndogo Sana......

deal la lavia it's possible Chelsea wametoa pesa nyingi kwa mchezaji Plus mkataba mrefu ambao utamfaidisha endapo utavunjwa

Deal la caincedo Liverpool hata haikuwa kwenye run ila baada ya Chelsea kuingilia deal la lavia ndo liver wakaingilia hilo deal then mchezaji mwenyewe akachagua Chelsea kutokana na mawasiliano yaliyokuwa Kat ya wakala wake na Chelsea it has nothing to do with pull power ya Chelsea


Kiufup weka pesa mezani watu waje pull power wanayo real Madrid na Barcelona pale england hakuna mtu wa kusema ana pull power kubwa pesa inaongea
 
Narudia Tena football knowledge yako ni ndogo Sana......

deal la lavia it's possible Chelsea wametoa pesa nyingi kwa mchezaji Plus mkataba mrefu ambao utamfaidisha endapo utavunjwa

Deal la caincedo Liverpool hata haikuwa kwenye run ila baada ya Chelsea kuingilia deal la lavia ndo liver wakaingilia hilo deal then mchezaji mwenyewe akachagua Chelsea kutokana na mawasiliano yaliyokuwa Kat ya wakala wake na Chelsea it has nothing to do with pull power ya Chelsea


Kiufup weka pesa mezani watu waje pull power wanayo real Madrid na Barcelona pale england hakuna mtu wa kusema ana pull power kubwa pesa inaongea
Mkuu,Unapoteza wako muda kumjibu Tahira wa Arsenal.
 
Livapain c mje tuwape ugochukwu na conor ata kwa mkopo
857412124_284949.jpg
 
tokea dec mwaka jana tulijua mido inahitaji overhaul, alafu saizi ndio wanajifanya wapo busy kubid 100, hii timu ina mashabiki na wamiliki wapumbavu sana,

saizi watajitetea tulibid 110 zikakataliwa, hatuna option nyingine, natamani tumalize nafasi nje ya top 4 tena msimu huu, na kule europa tutolewe sf
 
Narudia Tena football knowledge yako ni ndogo Sana......

deal la lavia it's possible Chelsea wametoa pesa nyingi kwa mchezaji Plus mkataba mrefu ambao utamfaidisha endapo utavunjwa

Deal la caincedo Liverpool hata haikuwa kwenye run ila baada ya Chelsea kuingilia deal la lavia ndo liver wakaingilia hilo deal then mchezaji mwenyewe akachagua Chelsea kutokana na mawasiliano yaliyokuwa Kat ya wakala wake na Chelsea it has nothing to do with pull power ya Chelsea


Kiufup weka pesa mezani watu waje pull power wanayo real Madrid na Barcelona pale england hakuna mtu wa kusema ana pull power kubwa pesa inaongea

Unasemaje kuhusu hawa wawili wa mwisho ukimtoa Lavia na Caicedo
IMG_1622.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom