Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool msimu huu itakuwa ya moto sana
1692030802176.jpg
 
Yaani hamna kombe inaweza izidi timu kubwa kama Liverpool Kwa idadi kimafanikio ndio alivyomaanisha au Chelsea Kuna kombe limeizidi Liverpool ndio maana kasema timu ndogo
Kwahiyo Liverpool ni timu ndogo kwa AC Milan au Real Madrid kwasababu zinaizidi Liverpool kwa makombe yote makubwa?
 
Sio ushabiki Caicedo ni DM mzuri labda mambo yaende tofauti ila jana hamuwezi anza kumsifia enzo kwamba kafanya frxh akati amekutana na liver amabyo haina Dm mbn msim ulio pita alikuepo aliweza kutamba mbele ya fabinho au mnajisahaulisha kidogo
Enzo na Thiago Silva msimu uliopita Ndio wachezaji walikuwa kwenye form japo tulikuwa na msimu mbaya sana
 
Nimekuuliza Liverpool ni ndogo kwa Real Madrid na AC Milan?
Naona kama haujielewi Fulani hivi Liverpool ipo Italia au spain nimekuambia jumlisha makombe yote kama Kuna kombe umeizidi LiverpooL litaje Chelsea Kwa Liverpool ni katimu kadogo sanaaa halafu ukiongelea magiant uefa ni Real Madrid ac Milan na Liverpool au unafikili Milan hayo makombe 7 ya uefa alipewa tu kama pipi
 
Enzo na lukaku nani alisajiliwa na bei kubwa?
Mbona umeshindwa nijibu? Si nyie wakat mnamsajili lukaku mlikuwa mnapiga sana kelele oooh akija atafunga sana, sikatai kuwa Enzo alisajiliwa kwa bei ghali kuliko lukaku ila usajili wa Lukaku kila mara ulikuwa ni tishio kwa kila mtu mle
 
Mtateseka sana na Hayo masokwe wanaotafuta kiki kupitia Liverpool sisi tunawasomantu mmeshindwa kutufunga tukiwa hatuna kiungo mkabaji tena mkiwa kwenu ngoja mkanyage anfield na hayo masokwe yenu mliyoyajaza kwenye timu
Hata Chelsea haikuwa na kiungo mkabaji Conor Gallagher na Enzo wote hao sio viungo wakabaji kiasili ni attacking midfielders Ila wamelazimika kucheza DM ni kwasababu hatuna kiungo mkabaji kante, kovacic Ndio walikuwa DM wetu ila tumewauza na Ndio Maana Chelsea wakawa wanamtaka sana Caicedo na hatimaye tumempata
 
Mbona umeshindwa nijibu? Si nyie wakat mnamsajili lukaku mlikuwa mnapiga sana kelele oooh akija atafunga sana, sikatai kuwa Enzo alisajiliwa kwa bei ghali kuliko lukaku ila usajili wa Lukaku kila mara ulikuwa ni tishio kwa kila mtu mle
Hata wa Enzo ulikuwa gumzo kuliko Lukaku kwasababu kuu mbili
1.Alikuwa ametoka kushinda kiungo kinda wa michuano ya kombe la dunia
2.Amevunja record ya usajili wa Epl na Chelsea kiujumla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom