Hata sisi tulikuwa hatuna kiungo mkabaji mbona Hili ulikubali? Na pia kumbuka tuna kocha mpya na team ipo kwenye ujenzi maana tumeuza almost wachezaji 7 wa first eleven Kante,Kovacic, Eduardo Mandy, Kai, Mount n.kEndelea kuteseka umeshindwa kuiifunga timu Haina kiungo mkabaji tena kwako ukija anfield wewe ni maiti maana ni Chelsea ni timu ndogo sana Kwa Liverpool

kuku amkeni muanze kuwika
@_pauljoyce:
#LFC
