Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hii timu ya kijinga sana, ndio watoe 110????
hii hela si bora wangepata mlinzi mmoja wa uhakika, na kiungo mmoja?
anyway, hii ni paniki bila shaka
Mkuu sio panic...
Liverpool walihitaji defensive midfielder.. Na wamempata..

Bado beki wa kati na upande wa T-Anorld basiii
 
hii timu ya kijinga sana, ndio watoe 110????
hii hela si bora wangepata mlinzi mmoja wa uhakika, na kiungo mmoja?
anyway, hii ni paniki bila shaka
Unamchukuliaje caicedo mkuu?!! au unahisi mafanikio huja tuu bila gharama na ku-take risks. Kwa mda huu Hiyo 110 ukiigawa unapata vichezaji vya Hovyo ambavyo vitaishia kukaza kali0 benchi lawama zinarudi kwenye ubahili
 
Chelsea kayakanyaga mwenyewe huwezi kuingilia dili la mwingine wakati yupo hatua za mwisho za kukamikisha usajili wa lavia.
Hawa matajiri wapya wa Chelsea Wana tabia hizo, EPL hakukuwa na hijack za kijinga hivo

Yule Lavia Liverpool alikuwa anajitongozea taratibu, Chelsea wanakuja kuharibu

Mtu unajitongozea demu ,anakuja muhuni anafanya dharau, dawa unaenda kubeba mke wake
 
Caicedo kaikataa Liverpool, ngoma sasa ni bila kwa bila. Hukumu ya usajili wa Caicedo uko mikononi mwa Chelsea


Halafu mchezaji akiikata timu haina haja ya kumlazimisha. Chelsea waongeze wamchukue

Liverpool tutafute uelekeo as long as kuna £110 m tunaweza kupata two players

Florentino Luiz DM (£65m)
Inancio CB (£45m)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom