Ngarob
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 833
- 2,789
Mkuu sio panic...hii timu ya kijinga sana, ndio watoe 110????
hii hela si bora wangepata mlinzi mmoja wa uhakika, na kiungo mmoja?
anyway, hii ni paniki bila shaka
Liverpool walihitaji defensive midfielder.. Na wamempata..
Bado beki wa kati na upande wa T-Anorld basiii





