hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,400
- 26,957


Hii comment aiseee imebaki kama ukumbusho mkubwa sana kwenye Saga ya CaicedoSasa,, Pep ajiandae.
Unamuoffer Caicedo game za kutosha halafu Thiago anakuwa anampokeza kijiti siku moja moja.


mbona alishasema kitambo ad kuigomea Brighton alisema anaitaka Chelsea Ila kuku wakaja kuhijack dealMchezeji mwenyew kigeugeu sana, mbona wachezaji wengine hua wanatoa angalizo mwanzo kua, siitaji team nyingine iingilie dili hili naitaji team fulani tu basi..
Kama ilivyotokea kwa Timber,Troussard, enzo na wengine wengi.. Kuliko team kukubaliana alf unakuja kuwatoa nishai watu kua huwataki inauma sana![]()
Hapana ,hapa namtetea Caicedo , Liverpool hawakukubalina nae Caicedo, Liverpool walijiamini watashinda,Mchezeji mwenyew kigeugeu sana, mbona wachezaji wengine hua wanatoa angalizo mwanzo kua, siitaji team nyingine iingilie dili hili naitaji team fulani tu basi..
Kama ilivyotokea kwa Timber,Troussard, enzo na wengine wengi.. Kuliko team kukubaliana alf unakuja kuwatoa nishai watu kua huwataki inauma sana![]()
Upo sahihimbona alishasema kitambo ad kuigomea Brighton alisema anaitaka Chelsea Ila kuku wakaja kuhijack deal
Bro sio kin¥e0 tu Hadi vitundu vya masikio na pua kama added service.Sawa kaka utupe na kinyeo chako kama offer mkuu
Arsenal fans mnafurahia hii saga coz... Mnajua how ita impact strength ya Liverpool toward epl titleMnajidanganya Sana, had klopp kathibitisha agreement za klabu unasema ni mchezo
Mambo yakawaida kwenye sajili hasa Hawa wamiliki wa Chelsea wanapenda hiyo michezo ,
Kashaweka kimav kwa caicedo Chelsea wajipange haswaSasa awatishie walete na CB hata wawili

Aisee huyu Dogo caicedo analeta mahaba kibwege, kama Hela ipo Kuna watu kazi kibao (CM) hii timu tunafeli pakubwa.Toa free transfer matip na Gomez leta CB wawili na hapo ni baada ya Caceido kutua![]()
Matusi yawe kidogo kidogoMtoto wanamshika matako huyu
Aende zake huko hana issue, tupambane kupata Beki kwanzaKama hataki aende anapopataka
There is no a big player than a club
Vipaji vipo vingi sokoni
Aende zake huko hana issue, tupambane kupata Beki kwanza
sisi Ndio Chelseafc mmepigwa na kitu kizito kupitia huu upuuzi mliofanya na nyinyi mtaanza kupigwa hela ndefu kama sisi na Man u mshajulikana kumbe mna helaMtt msenge huyu
Kajichue mkuusisi Ndio Chelseafc mmepigwa na kitu kizito kupitia huu upuuzi mliofanya na nyinyi mtaanza kupigwa hela ndefu kama sisi na Man u mshajulikana kumbe mna hela
Chelsea hata ikiwa haifanyi kizuri still inamvuto mkubwa tofauti na nyinyiSijui ni mmatumbi yule yani anapiga teke gari la makombe kwenda kuangaikia relegation battle...no UCL spot
Damn
Pole kwa maumivu unayopitia nakushauri umuone daktari 🤣 unaonaje hamis77Kajichue mkuu
AsantePole kwa maumivu unayopitia nakushauri umuone daktariunaonaje hamis77