Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapa sio ya kingese tena

Ila hii movie Ni kumtuliza klopp inaonekana kiliwaka humo ndani

Pia inawezekana liva walimind mcheza wa Chelsea kwenda kwa lavia

Bro 110 hela nyingi sana hio hela ya kumchukua Bellingham au Federico Valverde

Hii move Ni ya hasira za klopp itakua aliwatishia nasepa
Sasa awatishie walete na CB hata wawili
 
Wazee wa kubana matumizi ,mara ooh sisi hatutumii pesa nyingi ,pumbavu sana average player mnapigwa Kwa 112m
 
Toa free transfer matip na Gomez leta CB wawili na hapo ni baada ya Caceido kutua
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Chelsea are not giving up on Caicedo despite Liverpool agreement

Chelsea want to try until the end despite Klopp confirmed the agreement and also Liverpool booked medical

…the craziest saga of the summer is still ON

Kumekucha huko
 
Huu ni usajiri wa kukulupuka
Sio kukurupuka nowadays football is money ,no money no football..

Mambo ya kucheza Kwa passion yalishapitwa na wakati ...

Ndio maana unaona watu kama kina Henderson ,mane wako saudia ...

Hata hapo epl kama mishahara na pesa nyingi zisipotumika kuwalipa wachezaji ,soon wanaenda zao saudia ...hizo passion mnazotaka hazina uwezo wa kununua unga supermarket...

Money si football no money no football..

Kama hutaki kuinvest acha ,lakin uwanjan utakutana na team zimeinvest pesa za kutosha na zitakufundisha what is football ..

I think klopp na yeye kashagundua Sasa ,maana zamani alikuwa anavimba Kwa kusema hawezi spend 100m Kwa mchezaji ....
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Chelsea are not giving up on Caicedo despite Liverpool agreement

Chelsea want to try until the end despite Klopp confirmed the agreement and also Liverpool booked medical

…the craziest saga of the summer is still ON

Kumekucha huko
Caicedo kashatua Liverpool
 
Sio kukurupuka nowadays football is money ,no money no football..

Mambo ya kucheza Kwa passion yalishapitwa na wakati ...

Ndio maana unaona watu kama kina Henderson ,mane wako saudia ...

Hata hapo epl kama mishahara na pesa nyingi zisipotumika kuwalipa wachezaji ,soon wanaenda zao saudia ...hizo passion mnazotaka hazina uwezo wa kununua unga supermarket...

Money si football no money no football..

Kama hutaki kuinvest acha ,lakin uwanjan utakutana na team zimeinvest pesa za kutosha na zitakufundisha what is football ..

I think klopp na yeye kashagundua Sasa ,maana zamani alikuwa anavimba Kwa kusema hawezi spend 100m Kwa mchezaji ....
Alikuwa anaona sifa kubania matumizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmepigwa kata funua

BREAKING: Moisés Caicedo has told Liverpool that he only wants to join Chelsea and will keep his word. Chelsea are preparing a new bid in order to complete the deal with Brighton.

[@FabrizioRomano]

#bhafc #cfc
 
Caicedo kashatua Liverpool
Labda liverfool ya kibada
Screenshot_20230811_141455_X.jpg
 
Mmepigwa kata funua

𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Moises Caicedo has informed Liverpool that he ONLY WANTS TO JOIN Chelsea.

(Source: @FabrizioRomano)
 
Caicedo kashatua Liverpool
𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Moisés Caicedo told Liverpool that he only wants to join Chelsea!

◉ Liverpool had £110m deal agreed with Brighton as confirmed by Klopp — but not yet on personal terms.

◉ Caicedo has just informed Liverpool and Klopp that he wants to join Chelsea despite medical tests booked.

◉ Caicedo will not travel to Liverpool in the next hours as Chelsea are now expected to bid again very soon.

One of the most incredible transfer sagas ever.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom