Jude alikuwa anaitaka Madrid ndo mana ilishindikanaIla hii hela tungembeba Jude..
Au Lavia na Yule mbrazil.....
Bado tunahitaji centre back na beki mmoja
Caicedo ni chuma AISEE...Ila hii hela tungembeba Jude..
Au Lavia na Yule mbrazil.....
Bado tunahitaji centre back na beki mmoja
Beki mmoja ingekuwa Bomba zaidiIla hii hela tungembeba Jude..
Au Lavia na Yule mbrazil.....
Bado tunahitaji centre back na beki mmoja
Everyone sees the reports, Everyone knows revenues ,And no one believes that the club lacks Money. LFC had a record year in terms of Revenue.
Pure NONSENSE this from Billy. And it's worse if fans listen huu Upumbavu.
Arsenal haven't been in the Uefa Champions League since 2017 before Qualifying last season, Lakini they have been able to spend £100s of Millions in last 3 years.
Sorry Nje ya Mada:
Hivi Yule Dogo - J.Gomez mkataba wake unaisha lini? Maana sioni kashkash ya kumpata RB
Kibanda kitaungua kuanzia hapa msimu huu kama ndo Trent atasogea ndani halafu Gomez akae RB![]()
Diaz sio wa kumtegemea timu ikiwa inasaka ushindi. Ana mambo mengi sana uwanjani hasa akiwa kwenye box.
Mnyama ni Jota hana mambo mengi kabisa. Kwaiyo foward yetu ya kutegemea ni Jota, Salah na Gakpo.
Aisee Mimi nalia na CB's Hali si shwari kabisa tunarudi Liverpool ya 2017 forward goli nyingi na nyavu zetu zinatikiswaGomez aliongezewa mkataba wa miaka mitano. Mkataba wake unaisha summer 2027.
Kwa mfumo wa mabeki watatu unahitaji strong CB’s hasa. 3-2-2-3 na mbele ya hao watatu upate Mid kisiki kupunguza spaces
Ngoja tu seal deal la Caicedo kwanza. Tumeshapeleka £110m na Brighton wameikubali leo medical inafanyika. Tukimaliza hii deal. Walau tuta solve kitu. Ila upana wa kikosi bado hautakuwepo atleast tupate one MF and CB then we will be read to challenge trophies

Kwa mapungufu yote hayo uliyotaja hebu nitajie kocha gani mwengine angeweza kukibebea hiki kikosi mpaka hapo alipofikia yeye tu! Tatizo hapa ni FSG wabahili! hata hao wachezaji wazuri tulionao tuwewanunua kwa kuvizia e.g. Salah, Mane etc. wote wamekuwa wakubwa kwenye mikono ya Klopp.
Bila ya klopp kamanda na sisi tungekuwa kama Chelsea kama sio Everton.
Aisee Mimi nalia na CB's Hali si shwari kabisa tunarudi Liverpool ya 2017 forward goli nyingi na nyavu zetu zinatikiswa![]()
Tumewachezesha samba wakakubali. Now uza yule Thiago. Mtu yuko wodini kila siku. Bojetic anaweza fanya kazi yake vzr tuTumem-push chelt@ko nae kakubali chenga ya mwili caicedo to Liverpool soon.... ila chelt@ko kwa kuingia miguu yote Yuko vizuri
NB: Na sisi how tumekubali 110 kwa caicedo na sio Bellingham?![]()