choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,289
- 4,087
Ukinuwejea Nunez na Fiston Mayeke namchagua Mayele, huo usajili niliupinga hata kabla haujatokea na klopp alionywa akaambiwa huyo mchezaji ni wakawaida amevuma msimu mmoja tuu thamani yake haizidi 40m, akakaza fuvu.
Usajili mwingi tuu Klop amefeli sema kuna watu wanamuona Mungu mtu hakosei
1. Keita ( alionywa kabisa kuwa ni injury prone, akamwaga mahela halafu aka sacrifice msimu mmoja kumsubiri.
2. Nunez, ( tusitarajie mabadiliko yoyote kwa huyu mchezaji)
3. Carvalho ( akatuaminsha ni mchezaji potential kisha akamweka bench)
4. Arthur ( hapa alivuta bangi kisha akafanya huo usajili)
5. Luis Diaz ( kuja kuwa mbadala wa Mane, bado sana, huyu mchezaji ni machachari ila sio hatari, namuona akiwika tuu pre season, ligi ikianza anakua injury kisha anaflop
6. Ibou Konate ( huyu beki bado, hana kasi ni mzito, klop kamsajili ila bado anampanga Matip, hii inaonesha konate bado sana
7. Thiago (huyu ni kiungo maestro sema injury, ila kwa bei aliyonunuliwa sio hasara sana
Usajili mwingi tuu Klop amefeli sema kuna watu wanamuona Mungu mtu hakosei
1. Keita ( alionywa kabisa kuwa ni injury prone, akamwaga mahela halafu aka sacrifice msimu mmoja kumsubiri.
2. Nunez, ( tusitarajie mabadiliko yoyote kwa huyu mchezaji)
3. Carvalho ( akatuaminsha ni mchezaji potential kisha akamweka bench)
4. Arthur ( hapa alivuta bangi kisha akafanya huo usajili)
5. Luis Diaz ( kuja kuwa mbadala wa Mane, bado sana, huyu mchezaji ni machachari ila sio hatari, namuona akiwika tuu pre season, ligi ikianza anakua injury kisha anaflop
6. Ibou Konate ( huyu beki bado, hana kasi ni mzito, klop kamsajili ila bado anampanga Matip, hii inaonesha konate bado sana
7. Thiago (huyu ni kiungo maestro sema injury, ila kwa bei aliyonunuliwa sio hasara sana






