Klopp anachangia pia trust it. Kuwakumbatia the likes of Adrian, Keita, Milner, Ox, Matip, Gomez and Thiago injury prone na low quality ni ushahidi tosha naye ana sehemu yake.
Klopp alitaka Milner na Bobby waongezewe mkataba (jiulize tu ni kocha yupo top quality angeendelea kuwa na Milner?)
Sipingani na ulichosema kwa FSG, nakubaliana nawe. Ila nimejikuta kuonesha Klopp ana % yke kubwa tu. Calvin Ramsey aliyeletwa kumchallange TAA leo yupo kwa mkopo Preston N .E hii ni idea ya Klopp. Transfer ya Carvalho ni Klopp alimtaka, after a season bila game time kaondoshwa kwa mkopo idea ya Klopp.
Kuna mahali Klopp kayumba sana. Ni yeye kalazimisha TAA kucheza RB huku kadiri siku ziendavyo anakosa Defensive ability and capability (imemcost mara nyingi).
Ile 4-3-3 media nyingi ziliandiks hata humu ndani, kwamba inatuacha wazi mno hatuna energy kwenye MF ya kutumia huo mfumo. Klopp akakaza kichwa weeeee mpaka March ndipo akakubali yaishe aka switch kwenye 3-2-2-3 na ilitufaa sana. Hapo ni baada ya kupokea vipigo vya kutosha.
Kocha mzuri ni yule anayetumia wachezaji waliopo kuleta mafanikio.
Klopp alipokuja alitumia wachezaji waliopo kina Sacko, lovren, Mignolet, Clyne kutinga fainali mbili FA & UEL japo alipoteza.
Nini kimebadilika kwa Klopp, kutopokea ushauri kutoka kwa Sporting director (Edward) hapa ndipo mambo yalivurugika.
FSG kumkingia kifua, kumemfanya ajse kiburi.
Anyway ngoja tuone itakavyokuwa
YNWA