Lukaku mweupe
Aisee wakati Lukaku anatua kwa bwebwe tulikua hatupumui humu pamoja kwa kwamba mlitonywa huyu Lukaku hawezi mikiki ya EPL bado mlikomaa anawapa Epl 2022 lakini wapi huyo Inter tena baada ya kuwatia hasara ya kutosha....yaaaaani hata CR7 kamzidi kibegi Lukaku.Lukaku mweupe
Ngojaa aje EPL uyo Salah atakiona Cha mtema kuni.
Tuchel amekaa msimu mmoja tu keshabeba makombe makubwa uyu Klopp alikaa miaka minne akistruggle kujenga timu, japo amefanikiwa Ila mwisho wake unakuja soonSio tuchel,kocha wenu alikuja kwa mbwembwe leo hii kiko wapi?
Klopp kashindikana hapo Epl sasa hivi mnamuombea mabaya tu,hamtafanikiwa ,
Tayari Klopp anauzoefu hapo Epl. Mtaendelea kutubu tu.








Bora hata origi yeye alikuwa anauwezo wa kumalizia game kwenye injury timeSi tumeshakubaliana Nunez ni origi wakizungu




We are LiverpoolKwa hiyo mshajihakikishia kabisa kuwa hao kina vvd na mzee wenu matip wanauwezo wa kumzuia mtu mrefu dunian terminator sybog halaand na Alvarez wasifunge goli? Mko na uhakika ?![]()
Mkuu Mimi siongei Sana nadhani umejionea mwenyewe clip zinazosambaa mitandaoni sahv khs game yenu na mliocheza nao leoAisee wakati Lukaku anatua kwa bwebwe tulikua hatupumui humu pamoja kwa kwamba mlitonywa huyu Lukaku hawezi mikiki ya EPL bado mlikomaa anawapa Epl 2022 lakini wapi huyo Inter tena baada ya kuwatia hasara ya kutosha....yaaaaani hata CR7 kamzidi kibegi Lukaku.
Hatuna noma na D Nunez hayu anakuja kufumania nyavu mtajua hamjui.
YNWA
