Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Fabinho wetu,
Nani atapiga Penalty?
Salah anakosa kila siku


Kiukweli watu wote walioondoka nimefurahi sana,ila Fabinho roho imeniuma mno
Msiogope chukueni ichi kiungo hamtojutia aise hii ni kiungo ya ball
20230329_231336.jpg
 
Hatuwezi kumaliza matatizo yote ya timu kwa Dirisha moja la usajili hatuna Owners wa namna hiyo.
Tukimpata LAVIA na CB 1 ,Itakuwa ni it's an Excellent ,Exciting Rebuild kwa Summer ambayo wengi Hatukuhitarajia.

Sure Lavia and 1 CB ready for the season.

Jarell Quansah is expected to join the Liverpool first team for the 2023/24 season.

Huenda Klopp aka opt kusajili senior CB akasajili two MF’s kwa taarifa ya Quansah amepandishwa senior team then akaenda na waliopo

Gomez, Vvd, Matip, Konate, Robbo, Tsimikas.

Kwa mimi nitamuelewa kama atasajili DM (probably Lavia) na another physical CM mwenye uwezo wa kucheza DM too.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom