Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Cmon VVD
Cmon trent Alexander Arnold
Cmon trent Alexander Arnold
Klopp huo uthubutu wa kuwaamini vijana wadogo hanaWote hao hakuna kitu, umeona kikosi cha pili kwenye mechi dhidi ya Leicester....kuna madogo wanahitaji kuja kuwa kumbusha hawa mabeki wajibu wao ..
City ataendelea kututisha mkuuSijaona timu ya kutuzia msimu huu
Epl tunabeba
FA tunabeba
Carabao tunabeba
YNWA FOREVER![]()
mkuu si tunaenda kujilinda sasa! AhahahSure Lavia and 1 CB ready for the season.
Jarell Quansah is expected to join the Liverpool first team for the 2023/24 season.
Huenda Klopp aka opt kusajili senior CB akasajili two MF’s kwa taarifa ya Quansah amepandishwa senior team then akaenda na waliopo
Gomez, Vvd, Matip, Konate, Robbo, Tsimikas.
Kwa mimi nitamuelewa kama atasajili DM (probably Lavia) na another physical CM mwenye uwezo wa kucheza DM too.
Poa vipi Baba?Mambo mrembo wangu
Unadhani upo pamoja naye huyo Putin?City ataendelea kututisha mkuu




Alison na Salah ingekuwa better
Why are you laughing?

kumbe nimepigwa na kitu kizitoUnadhani upo pamoja naye huyo Putin?![]()
Salah should be our captainAlison na Salah ingekuwa better
hapanaAlison na Salah ingekuwa better
kutoa wawili hao wengine walikuwa mizigo tu nafasi zao wapewe vijanaWalio ondoka..
Arthur Miller
Fabinho
Henderson
Milner
Keita
Carvalho
Ox.
Waliokuja
Szoblai..
Macalister..
Labda na Laiva
Huoni nimekupa title kubwa hiyo?
Mwafrica yuleSalah should be our captain
This decision ngumu kumeza…. But they voted for so Hakuna ujanja
Njoo inbox nipee namba yakoHuoni nimekupa title kubwa hiyo?
Mimi sina Baba.
Ubaguzi hauto isha mkuu, mi mwenyewe nilipenda awe captain.It doesn’t matter
Next season anarudi uarabuni