Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

THANK YOU FOR EVERYTHING JORDAN HENDERSON .CAPTAIN .LEADER .LEGEND.
YNWA.
20230726_214139.jpeg
 
Bado kama Thiago anaondoka tunahitaji tena cover kama 2 hivi bado mabeki kama watatu...safari ndefu kidogo
Hatuwezi kumaliza matatizo yote ya timu kwa Dirisha moja la usajili hatuna Owners wa namna hiyo.
Tukimpata LAVIA na CB 1 ,Itakuwa ni it's an Excellent ,Exciting Rebuild kwa Summer ambayo wengi Hatukuhitarajia.
 
Hatuwezi kumaliza matatizo yote ya timu kwa Dirisha moja la usajili hatuna Owners wa namna hiyo.
Tukimpata LAVIA na CB 1 ,Itakuwa ni it's an Excellent ,Exciting Rebuild kwa Summer ambayo wengi Hatukuhitarajia.
Milner
Keita
Ox..
Henderson
Fabinho
Thiago

Hapo tunaachia watu 6..
Tumesajili wawili ..tukipata Lavia inakuwa watatu...

Bado tuna nafasi tatu ...za kujaza
 
Milner
Keita
Ox..
Henderson
Fabinho
Thiago

Hapo tunaachia watu 6..
Tumesajili wawili ..tukipata Lavia inakuwa watatu...

Bado tuna nafasi tatu ...za kujaza
Thiago Haondoki.
Wachezaji wa kufanyiwa Replacement ni Fabinho na Henderson tu .

Keita + Ox+ Fabio wamecheza dakika 964 combines Premier league last season.

Mc Allister last season amecheza minutes 2,886 ni zaidi ya Dakika 2,000 combined ya Keita + OX + Calvalho+ Arthur .

Tunahitaji quality na sio kujaza quantity kwenye squad.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom