Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
NakupendaHuoni nimekupa title kubwa hiyo?
Mimi sina Baba.
NakupendaHuoni nimekupa title kubwa hiyo?
Mimi sina Baba.
Hapo kwenye Vice Captain alitakiwa kuwa Salah au Robbo klopp kachemkia hapa huyo Dogo TAA angalau angekuwa chaguo la 3
Hivi Trent ni wa kumpigia kelele Salah Nini Cha kufanya wakiwa uwanjani?!! au AllisonSalah should be our captain
This decision ngumu kumeza…. But they voted for so Hakuna ujanja
Klopp kachemka hii ni Robbery ya wazi.Uhuru Umezidi hii nchi Mpaka Wahuni wameongezeka.

Hapo ameondoka Henderson na FabWalio ondoka..
Arthur Miller
Fabinho
Henderson
Milner
Keita
Carvalho
Ox.
Waliokuja
Szoblai..
Macalister..
Labda na Laiva
I know you know ❣️Nakupenda
Kaondoka Fabinho tu hapoHapo ameondoka Henderson na Fab
Hao wengine hawuwa wanatumika
Unamtegemea Putin kinyonga?kumbe nimepigwa na kitu kizito

VVD na TAA imekaa vizuri Mkuu’Alison na Salah ingekuwa better
Hana sifa za kuwa CaptainSalah should be our captain
This decision ngumu kumeza…. But they voted for so Hakuna ujanja
Hatutaki
Dah! Ubaguzi tuHapo kwenye Vice Captain alitakiwa kuwa Salah au Robbo klopp kachemkia hapa huyo Dogo TAA angalau angekuwa chaguo la 3


Nyie mnaosema ubaguzi nawashangaaDah! Ubaguzi tu![]()

Ule uchochoro kwa sasa, huyohuyo VVD ndio atakuwa anaonesha vidole wengine wakabe.Nyie mnaosema u aguzi nawashangaa
Trent ni mzungu?
Kubalini tu Salah hana sifa za kuwa Captain..
Mtu ambaye kitu kidogo tu anakasirika,
Akifanyiwa sub ananuna,atawafundisha Nini wenzie humo uwanjani?
VVD na Dogo Trent ndo Macaptain,kama hamtaki katafuteni wenu![]()


Hendo alikuwa na uwezo gani uwanjani?Ule uchochoro kwa sasa, huyohuyo VVD ndio atakuwa anaonesha vidole wengine wakabe.![]()
Back in 2017, 2018,2019 Nikikumbuka ubishi wa jamaa wa Liverpool halisi na Liverpool fake. Nikasema ngoja niite wana liverpool fake wenzangu😃. Maana ubishi wa uwezo wa Hendo ndio ulileta yote hayo.
Hatutamuona tena Shujaa Hendo akiwa kwenye kikosi chetu
HahahahaaaaHivi Trent ni wa kumpigia kelele Salah Nini Cha kufanya wakiwa uwanjani?!! au AllisonKlopp kachemka hii ni Robbery ya wazi.![]()
machochoro mawili yamekua manahodhaNyie mnaosema u aguzi nawashangaa
Trent ni mzungu?
Kubalini tu Salah hana sifa za kuwa Captain..
Mtu ambaye kitu kidogo tu anakasirika,
Akifanyiwa sub ananuna,atawafundisha Nini wenzie humo uwanjani?
VVD na Dogo Trent ndo Macaptain,kama hamtaki katafuteni wenu🤣