Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Hili goli la pili. Yaani VVD anakimbia speed ya Kobe kama anafanya jogging
Hahaha Ian Rush aka Rushie in Liverpool accent.Tulioanza kufuatilia mpira juzi tunatoa macho
![]()
![]()
![]()
![]()
Milner niliona jana wanayapanga... No wonder msimu huu Milner lazima aidha aanze au apate sub... We are doomed.
In the meantime Manchester City wanawataka Khvicha na Bellinghamnext level... Pep anaweza kufika record za EPL 13 za Fergie kama FSG na Glazer watabaki kwenye hizi timu.
YNWA
Sidhani kama ana goli 3 pale Tottenham huyu dogo aafu analeta kidomo wakati kipenga cha mwisho badoooo....
Jota magoli amepona.
YNWA
Hakuna shabiki wa livapuli asiyemchukia huyu jamaa
Akanji was bought for few chums.. Ina maana hata Diaz au Laporte wakiumia Pep pale nyuma yupo covered.... Klopp anatuangusha sana haya mambo ya small squad ni usani mtupu. Am at peace kukosa big 4 ili Klopp na ma Yankees wapate elimu the hard way.... Sasa sio tena big 4 war imekua big 7 kwa sababu Newcastle, Brighton na Aston Villa wamepata walimu wazuri sana hivyo hata next season mambo yatakua magumu sana. Yaaani FSG wakakope Klopp apewe mpunga wa maaana anunue
YNWA
Kumbe miaka ya 80Hahaha Ian Rush aka Rushie in Liverpool accent.
Huyu mwamba dogo Nunez ana mengi ya kujifunza kasoro lile ka kuhamia mazima Juventus msimu mmoja na msimu uliofuata akarejea Liverpool.
Ndio aliongoza mashambulizi Liverpool kushinda mataji mawili msimu mmoja ambayo Ubingwa wa ligi na kombe la ligi kwa pamoja kwa mara ya kwanza...
Ana rekodi ya pekee kufunga goli 44 mashidano ya kombe la FA sina hakika kama hio rekodi imevunjwa.
Alishinda Ubingwa wa Ligi mara 5 akiwa na Liverpool. Kombe la ligi mara 5, Kombe la FA mara 3, FLSC mara 1, Ngao ya Jamii mara 4, na European Cup mara 2.
Wakati yupo Liverpool walifungiwa karibu miaka 5 kucheza Uefa.
Aliodoka Liverpool akiwa amefunga magoli 346 huku akiwa Top Scorer wa Liverpool kwa misimu nane.
Alisajiliwa Liverpool 1980 na kuodoka akauzwa Juventus 1986 kwa rekodi ya Uingereza ya £3.2m akacheza kwa mkopo Liverpool na baadae msimu wa 1987 akahamie Juventus ambaoo hakuwa na wakati mwema kama alivyotegemea hivyo mwaka 1988 akarejea tena Liverpool 1988 kwa asa ya £2.8m ikiwa rekodi ya Uingereza enzi hizo.
Rush aliodoka rasmi Liverpool mwaka 1996.
Anarekodi ya kipekee Liverpool haijawa kufungwa katika mechi 144 alizofunga yeye.
YNWA
Utadhani anavuta bangi kwa mbaliMjinga yule, toka yupo Everton ni kisirani na Liverpool. Anacheza mpira vita akikutana na LFC.
Kuna mechi tulikutana nao, VVD yupo kwenye ubora kabla ya injury. Richarlson alijuta, aliwekwa mtu kati Vvd, huku Fabinho, huku Henderson.
Alipigiwa harakati. Sikutamani mechi ile imalizike.
Hapana wala siwezi kukususaUmenisusa siku hizi
Utadhani anavuta bangi kwa mbali
Macho yake yanaonyesha tu😆Wewe unaona kama yule hatumii kweli??
Kijana Mkorofi sana yule na inaonekana kakulia mazingira ya Uchokoraa wa mitaaniUtadhani anavuta bangi kwa mbali
Macho yake ni bangi tupu zinaonekanaKijana Mkorofi sana yule na inaonekana kakulia mazingira ya Uchokoraa wa mitaani
Hujambo?Hapana wala siwezi kukususa
Napambana sijaenda kazi leoHujambo?
Pipa namfuniko vimekutana