Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20230427_230036_com.android.chrome~2.jpg

Aaron Arsenal huyu Kipara sio mtu mzuri kabisa.

Saliba kuumia mmepoteza nafasi kubwa sana kuchukua ubingwa.

YNWA
 
Asee kama umeangalia mechi tumeshinda lakini , fabinho, vvd, henderson, hawa watu wamechoka mno, hii timu eti mtu mmoja wa westham anapiga chenga watu wanne

Goli la kwanza ile 1,2 waliyopigiana huku kuna msitu wa mabeki wetu na mpira ukapita pale pale,

Nb kama sio uzembe wa Antonia first half tuu tungefungwa goli 3
Vvd anakabia matako now
 
Mara nasikia de jong anatua Liverpool.. yaani sielew

Kwa sasa rumour zitakuwa nyingi.

Moja ya timu itaongoza kwa rumours kuelekea summer basi Liverpool ipo.

Tutaandikwa sana tutahusishwa sana.
Klopp amesema wana list tayari ya wachezaji 12 wanaowafuatilia.

Sasa hapo ndipo wenye socail media wanajaribu kudecode hiyo 12 ni kina nani?
Umeona toka tamko la hatutamsajili Jude litoke hiyo taarifa haiuzi tena.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom