Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kufuzu Champions League kutawapa kiburi FSG & Klopp.

YNWA
Champions League msimu huu au msimu ujao.. Kama ni huu katazame tena msimo ndugu...

FSG na Klopp have been caught snapping on the job... Dalili zilikua wazi kwamba dirisha na January 2023 litumike powa kuweka msingi pale Midfield lakini tukashangaa wanakopi usajili wa Diaz ulivyoleta amsha amsha January 2022 hivyo akaja sajiliwa Gapko usajili ambao ni sahihi wakati usio sahihi... Sasa Klopp hana cha kufanya zaidi ya kumchezesha Milner ma wazee wenzie angalau aambulie Europa... Poor transfer planning ya Klopp kwa kigezo cha Bellingham as if he is the next Pirlo au Steve G.. Bure kabisa huu uongozi.

YNWA
 
Kwa taarifa zisizo rasmi bado, FSG wamedai watampa Klopp fungu la kutosha kwa ajili ya maandalizi ya msimu.

Jambo la pili; Klopp amesema wapo kwenye mchakato wa kumtafuta sporting director. Na anataka mpaka July 8 atakaporudi likizo mambo yawe tayari. Wakuondoka ameondoka wakusajiliwa amesajiliwa.

Bahati yao FSG, klopp ndio kocha timu bado ina mvuto.
Hautashangaa liverpool ikija kua top four ya klabu iliyouza haki zake za matangazo kwa wingi.
Mkuu asikwimbie mtu pigo la kukosa Champions League madhara yake sio ya kitoto ujue... Ukumbuke Liverpool wanatumie zaidi ya asilimia 70 kulipa mishahara ya wachezaji na supporting staff wa klabu hivyo kukosa ule mpunga kunaleta madhara makubwa kimapato japo kwa matangazo na kuongezeka expanded match day income pale Anfield kutasaidia kupunguza makali lakini FSG wana hali tete... Soon utasikia wamepata kuuza hisa kadhaa kwa£500m kwa fulani maana Gordon alishasepa kutoka Uingereza na kuhamia US ili akamilisha mauzo ama uwekezaji wa Liverpool...

YNWA
 
Possible.

Klopp aendelee kucheka cheka hapo, dunia itaangalia makombe sio kandanda safi.
City inataka kuachana na Gundogan & Silva
Upande wa pili tunawaza kuwapa majeruhi mikataba.

Klopp anataka Milner avunje records za appearance ndio maana hata dk ya 90 atamuingizia.
Kitendo cha kumng'ang'ania Milner ambae hana jipya la kutuonyesha ni udhaifu wa Klopp kua na soft spot ya hawa watoto wa Mflame Charles...

Fergie alikua na hair dryer pale Manjesta na sidhani kama kuna mchezaji alieikosa japo alieongelewa sana ni Beckham lakini wengi hii kitu walikutana nayo... Sasa unajiuliza Fergie aliweza aje kushinda yale mataji mengi vile tena akiwa na wachezaji wa kuunga unga akina Oshea nk lakini alikua brutal n lethal pale inapobidi na boys delivered kwa kweli... Huyu wetu anadhani yupo na miaka 100 pale maana unaweza kupanga hawa wachezaji watastafia hapa aafu naanza upya kujenga kikosi kwa kua hakuna continuity na kwa vile FSG amewakusia biashara basi wao wametulia tuliii... Allison, VVD, Henderson, Salah nk hawa watastafia pale pale na wenyewe sasa ni mashahidi kwa kukosa mbadala wa VVD 1st 11 tunapata show za break dance on ice 😅😅...

YNWA
 
Kabla Jota hajapiga mpira commentator akapiga Joooootaaaaaaa alijua angle ile kwa Jota nyepesi kuweka kwa mguu wowote ule.

Spurs msimu huu tumewapa dozi. Ile draw yao ya last season ilitupoka ubingwa. Ilikuwa moja ya mechi tano za mwisho kama sijasahau.

Msimu wana bahati mbaya na sisi, first match Dier assisted to Mo Salah, 2nd match Moura assisted to Jota a crual assist compare to Dier.
Jota kwenye one vs one akiwa upande ule wa kushoto ni nadra sana atakosa kufunga aisee. Boy has class and he delivered the goods when its mattered.

Kitendo cha ile mechi sikumbuki ilikua ugenini ama Anfield dogo Kane alikosa kupata kadi nyekudu ni pigo kwetu last season ukija kujuisha matukio na ile imo maana baada ya Kane kubakia uwanjani kwa ile crazy tackle alikuja akafunga goli na tangu pale sasa hawa Spurs ni sworn enemies sasa weka na refa yule yule aliekosa kumpa dogo Kane ile kadi basi ujue it's means more kuwachapa hawa jamaa.

YNWA
 
Prove me wrong
Bring here your birth certificate
Send Milner n Henderson away June 2023 and i will be dinning with you comrade 😀😀😀

Peleka taarifa Kyela kwa babu afanye jambo majina ya hao jamaa yaingie kwenye release list ya akina Ox, Keita, Phillips, Matip nk

YNWA
 
Mnataka tena kuingizwa cha kike 😆
😂 😂 😂 😂 😂 Bhana we are staying put hii timu hua maajabu hayaishi aisee unaweza shangaa Milner miwili tena na Klopp akakomaa kwamba Jones amepona hivyo ni usajili mpya kwake...

Kwa sasa Klopp anatupa matumaini wwe subiri dirisha atafyata huyu labda FSG wakope ela.

YNWA
 
Send Milner n Henderson away June 2023 and i will be dinning with you comrade 😀😀😀

Peleka taarifa Kyela kwa babu afanye jambo majina ya hao jamaa yaingie kwenye release list ya akina Ox, Keita, Phillips, Matip nk

YNWA
Tulikubaliana namtoa Milner na Matip.
Hendo🥲, Probability ya kuondoka ni 0.01
Usitake nikose dinner kizembe😂

Ngoja tuende kuwatengeneza,wakose amani hadi waondoke.
Mababu wa Tukuyu hawajawahi shindwa jambo.


Btw I am older than you😂
 
😂 😂 😂 😂 😂 Bhana we are staying put hii timu hua maajabu hayaishi aisee unaweza shangaa Milner miwili tena na Klopp akakomaa kwamba Jones amepona hivyo ni usajili mpya kwake...

Kwa sasa Klopp anatupa matumaini wwe subiri dirisha atafyata huyu labda FSG wakope ela.

YNWA
Yaani Sasahivi inabidi tufungwe mechi zote zilizobaki ili angalau bangi zipungue kichwani kwa huyu mzee.
 
Tulikubaliana namtoa Milner na Matip.
Hendo🥲, Probability ya kuondoka ni 0.01
Usitake nikose dinner kizembe😂

Ngoja tuende kuwatengeneza,wakose amani hadi waondoke.
Mababu wa Tukuyu hawajawahi shindwa jambo.


Btw I am older than you😂
Deal agreed.

Ila kua makini na na babu wasije badili mambo tukabakia na Ox na Kieta 😂😂😂.

As i told in ua dreams.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom