Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Where does he get the gut to celebrate vile jamani.... They paid £60m na goili moja... Well i would say Nunez is still a proper bargain.

Levy muda wake wa kuachia ngazi umefika they are heading back ward.

YNWA
Yaani Conte alwaambia ukweli wale wachezaji wa Tottenham hotspur wamezoea kucheza bila pressure yaani they don't fight for anything

Conte aliona Ana coach bunch of useless grown up people maksudi akasema Ile kauli wamfukuze
 
So they say VVD played over 58 club games last season having come from long injury that was a bad idea put international games, world cup nk.. Seems the burn out has catch up the bad times.

YNWA
Yes he is tired Ana style yake ya kukaba anabinua makalio Sasa hivi

Blud is finished

Ila Ubaya wa wachezaji ni kwamba hujui lini atarudi form

Ukiangalia kwa undani Sana matokeo ya livapuu msimu huu yamechangiwa Sana na mabeki achilia mbali ubovu wa midfield mabeki wametuangusha mno Ona Jana robo alichofanya Allison akatuokoa
Game ya Madrid Hamna ishu ya ma midfield pale first game mabeki na kipa utoto mwingi sana
Playing like hooligans damn
 
Vvd is finished yaani

Labda tusubirie msimu ujao labda Ata man up his game
Akanji was bought for few chums.. Ina maana hata Diaz au Laporte wakiumia Pep pale nyuma yupo covered.... Klopp anatuangusha sana haya mambo ya small squad ni usani mtupu. Am at peace kukosa big 4 ili Klopp na ma Yankees wapate elimu the hard way.... Sasa sio tena big 4 war imekua big 7 kwa sababu Newcastle, Brighton na Aston Villa wamepata walimu wazuri sana hivyo hata next season mambo yatakua magumu sana. Yaaani FSG wakakope Klopp apewe mpunga wa maaana anunue

YNWA
 
Akanji was bought for few chums.. Ina maana hata Diaz au Laporte wakiumia Pep pale nyuma yupo covered.... Klopp anatuangusha sana haya mambo ya small squad ni usani mtupu. Am at peace kukosa big 4 ili Klopp na ma Yankees wapate elimu the hard way.... Sasa sio tena big 4 war imekua big 7 kwa sababu Newcastle, Brighton na Aston Villa wamepata walimu wazuri sana hivyo hata next season mambo yatakua magumu sana. Yaaani FSG wakakope Klopp apewe mpunga wa maaana anunue

YNWA
Shida moja ya klopp ni kutengeneza loyalty na wachezaji

Klopp kafanya liverpool kama Familia, which is good at one side lakini kwa side nyingine watu wakizingua wanaona fresh tu mshua bado atatupanga

Ni kama mimi ofisini kwangu wafanyakazi wangu wanizoee in a way hawaoni hata shida kuzingua kwenye kazi nb usela Mavi mwingi

That's what is happening to klopp and his boys kwanza wanaona kabisa hapa nikizngua Nani ananiweka bench refer to vvd au matip kipindi kile konate kaumia lots of stupid mindsets out there

Wewe mwangalie pep hadi kdb anawekwa benchi, Ruben dias kaleta utoto mwingi sana kawekwa benchi mechi nyingi Sana kabla ya hizi mechi za siku za karibuni

Juzi man city anashinda goal la kwanza pep anamfuata kipa anamzingua lile goal lilipatikana lakini kipa alifanya makosa man city always wana build their goals around gundogan playing short passes etc kipa alifanya kosa sababu goal lilipatikana after arsenal players Wali over load na wangeleta madhara

Huwezi Ona klopp anamfuata mchezaji Anam mind no never
 
Akanji was bought for few chums.. Ina maana hata Diaz au Laporte wakiumia Pep pale nyuma yupo covered.... Klopp anatuangusha sana haya mambo ya small squad ni usani mtupu. Am at peace kukosa big 4 ili Klopp na ma Yankees wapate elimu the hard way.... Sasa sio tena big 4 war imekua big 7 kwa sababu Newcastle, Brighton na Aston Villa wamepata walimu wazuri sana hivyo hata next season mambo yatakua magumu sana. Yaaani FSG wakakope Klopp apewe mpunga wa maaana anunue

YNWA
Your players needs to be submissive full stop

wakuone wewe kama ka mungu ka dogo wakuogope yaani na hizi jeuri zinawezekana kama ukiwa na kikosi kipana tu
 
Akanji was bought for few chums.. Ina maana hata Diaz au Laporte wakiumia Pep pale nyuma yupo covered.... Klopp anatuangusha sana haya mambo ya small squad ni usani mtupu. Am at peace kukosa big 4 ili Klopp na ma Yankees wapate elimu the hard way.... Sasa sio tena big 4 war imekua big 7 kwa sababu Newcastle, Brighton na Aston Villa wamepata walimu wazuri sana hivyo hata next season mambo yatakua magumu sana. Yaaani FSG wakakope Klopp apewe mpunga wa maaana anunue

YNWA
Na ni zamu ya kujazia midfield pale na CB angalau mmoja wa kum-challenge VVD kule mbele hakuna tabu. Kuuza baadhi ya Flop MF itabidi ihusike
 
Na ni zamu ya kujazia midfield pale na CB angalau mmoja wa kum-challenge VVD kule mbele hakuna tabu. Kuuza baadhi ya Flop MF itabidi ihusike
Hopefully Klopp atafanya hivyo itakua jambo njema... Next season ushindani utakua mkali zaidi Newcastle, Brighton, Arsenal, Manchester City, Chelsea na Manchester United wote hao wataitaka big 4 kwa namna yoyote ile.

YNWA
 
Your players needs to be submissive full stop

wakuone wewe kama ka mungu ka dogo wakuogope yaani na hizi jeuri zinawezekana kama ukiwa na kikosi kipana tu
We are doomed yaaaaani imagine unategemea sub ya kuleta mbinu mpya pale kati kati unaona anaeingia ni Henderson au Milner 😂😂tazama kule kwa Kipara anatoka Bernardo anaingia KDB au anatoka anatoka Grealish anaingia Foden khaa... Klopp ameyataka mwenyewe na trust me kama hawa FSG hawakopi kuleta usajili basi hata big 6 msimu ujao tutaisaka na tochi.

YNWA
 
Shida moja ya klopp ni kutengeneza loyalty na wachezaji

Klopp kafanya liverpool kama Familia, which is good at one side lakini kwa side nyingine watu wakizingua wanaona fresh tu mshua bado atatupanga

Ni kama mimi ofisini kwangu wafanyakazi wangu wanizoee in a way hawaoni hata shida kuzingua kwenye kazi nb usela Mavi mwingi

That's what is happening to klopp and his boys kwanza wanaona kabisa hapa nikizngua Nani ananiweka bench refer to vvd au matip kipindi kile konate kaumia lots of stupid mindsets out there

Wewe mwangalie pep hadi kdb anawekwa benchi, Ruben dias kaleta utoto mwingi sana kawekwa benchi mechi nyingi Sana kabla ya hizi mechi za siku za karibuni

Juzi man city anashinda goal la kwanza pep anamfuata kipa anamzingua lile goal lilipatikana lakini kipa alifanya makosa man city always wana build their goals around gundogan playing short passes etc kipa alifanya kosa sababu goal lilipatikana after arsenal players Wali over load na wangeleta madhara

Huwezi Ona klopp anamfuata mchezaji Anam mind no never
Kwenye demanding simply the best basi Pep is the best hanaga aibu ya mdomo kumponda mchezaji hata awe nani yeye hua anaongea his mind.. Alisema the other Walker hana nafasi kuingia kikosi cha kwanza kwa namna wanavyocheza unless ajitume sana mazoezini na baada ya wiki hivi Walker akawa amejifua na kuacha mazoea na sasa anaanza mech ya pili au tatu mfululizo... Klopp ni super loyalty na too much loyalty anakua weak to point here n there ama kum bench mchezaji kwa sababu uwanjani anatupa below performance kwa mfano VVD ingekua kwa Kipara wala namba hana... Pep is brutal and his methods has delivered time n time again... Klopp method are built on sand mvua ikinyesha tunayeyuka maana hata Kipara wawe na msimu mbaya vipi hawakosi Champions league lakini kwa Klopp mambo yamekua ni tofauti kwa mara ya tatu tangu atue tunaisaka big 4 kwa hali na mali na twice tumepata na this time tunakosa haya yote ikiwa ni usajili hafifu umechangia.

YNWA
 
Milner niliona jana wanayapanga... No wonder msimu huu Milner lazima aidha aanze au apate sub... We are doomed.

In the meantime Manchester City wanawataka Khvicha na Bellingham next level... Pep anaweza kufika record za EPL 13 za Fergie kama FSG na Glazer watabaki kwenye hizi timu.

YNWA
Glazer hawana shida huwa wanatoa pesa ispokuwa jasusi la Dutch government ndio halijui kusajiri
 
Glazer hawana shida huwa wanatoa pesa ispokuwa jasusi la Dutch government ndio halijui kusajiri
Hilo la kutoa ela kweli, idara ya usajili pale Manjesta imewaangusha sana kulipa prime fee kwa Fred, Pogba, Martial, Sancho, Maguire na Antony ni kosa la jinai kabisa maana wote hao ni super flop.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom