Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Betis ni timu ya kawaida ambayo Real Madrid ameshindwa kumfunga hata goli moja kwenye mechi yao ya mwisho La League sio?Manjesta anacheza kwa kubahatisha bahatisha ,huo mpira alikuja nao Conte msimu uliopita ukampeleka had UCL league wachambuz uchwara wakasema na usajili alioufanya msimu huu Basi atagombea EPL , Sasa hivi anajipanga kutimuliwa
EPL haitaki janja janja ,ndio maana manjesta kulambwa 7 hakubahatishwa , Vs Betis ni sababu timu ya kawaida ,ila walishazawadiwa goals 2 na Degea , makosa ambayo Liverpool waliyatumia .

bourmouse,,,, wazee zile gori saba ilikuaje kuaaje!!???