Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama mlivyokuww hapa
Screenshot_20230310_173527_Chrome.jpg
 
Sisi tunabeba UEFA,hatutaki kupoteza muda
Sawa nakutakia ushindi kusonga mbele ndugu...
Upande wetu hatuelewi ni namna gani tutasonga maana duh tunakwenda ugenini Bernabeu sio mahala rahisi kivile lakini tutapambana tuone tutambulia kipi baada ya mechi.

YNWA
 
Klopp on Bobby Firmino leaving: “I was surprised a little bit but I was not hit by it. It could have gone two ways and I respect it a lot. It's completely normal in this long relationship we have had”. #LFC

Klopp also confirmed that “Luis Diaz will train next week”.
 
Klopp kaisha jiaminisha kwa Henderson hvyo nahc tutakua nae kwenye first eleven leo
 
Liverpool kuifunga
MAN goli 7-0 haimaanishi kuwa Liverpool ni nzuri sana au Man U nj mbaya sana.
Naona kama siku ile ilikuwa ni siku mbaya kawa man na siku nzuri kwa Liverpool.

Ukitaka kujua ninachomaanisha wewe kuendelea kuzifuatilia hizi timu mbili kwenye mechi walizozibakisha msimu huu. Matokeo yatakupa ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom