Watu wakigoma wameingiaje hapa sasa ?Klopp ametutoa tukiwa Timu inayoheshimika mpaka sasa ametuheuza Kigenge cha Wahuni halafu linakaa kwenye Media linajichekesha tu na mimeno yake kama Vidole vya Miguu ya Mtu aliyezaliwa Kigoma.
Ndio maana nasema sapoti ya sokoni Klopp apewe na atakua moto ksa sababu proven winners ambao hawa hitaji muda kuja kushinda makombe wata command wages kubwa sana na pia bei itakua ishu kingine hao proven winners wengi umri umesgoea kitu ambacho unaona hata sasa kinatugharimu kwa Thiago ...Ni ukweli, ila ukiangalia kwa umakini uwekezaji wa klop ni ule wa kuwekeza leo kisha unahitaji miaka mitatu au minne mbele kushinda kombe mara moja kisha uanze kuwekeza tena maana anaonunua mpaka wakae vizuri ni miaka minne hapo umri tayari
Cc Nunez na Gapco
Baba Swalehe ebu mpige ofa huyu Miss Liverpool aje kuitazama mechi Liverpool vs Real Madrid.Sasa sisi hatupo kwenye category yoyote katika hizo
Hatupo kwenye uwekezaji wa kimkakati wala uwekezaji ili mradi .
Yaani kabisa mtu na utimamu wake anasafiri na hii timu?
LoLsiwezi hata ningepewa ofa .
Sent using Jamii Forums mobile app
👋 👋 Wape huko kwa sasa huku kuna hitaji uwe na roho ya paka maana muda wowote tutakuja kuchezea mvua wewe subiri tu kwa hii combination ya Matip na Gomez ni kama kukalia bomb muda wowote ukisimama linalipuka.Hapa ndipo huwa nachoka zaidi.
Huyu Baba sijui anavutaga bangi za wapi
Niende zangu uzi wa picha nikatoe stress.
Huu uzi unanizidishia presha tu
Poor Klopp
Sent using Jamii Forums mobile app
![]()
Wape huko kwa sasa huku kuna hitaji uwe na roho ya paka maana muda wowote tutakuja kuchezea mvua wewe subiri tu kwa hii combination ya Matip na Gomez ni kama kukalia bomb muda wowote ukisimama linalipuka.
YNWA





Tena hiyo tunayocheza na Madrid wala siwezi kujichanganya kutazama wakati matokeo yanajulikana mapema kuwa hatuwawezi.
Ila hii Combo ni kituko![]()
Wape huko kwa sasa huku kuna hitaji uwe na roho ya paka maana muda wowote tutakuja kuchezea mvua wewe subiri tu kwa hii combination ya Matip na Gomez ni kama kukalia bomb muda wowote ukisimama linalipuka.
YNWA




Bond. James Bond View attachment 2508171

KideriTatizo nini jamani ni mdondo au kitu gani mbona jogoo kadhoofika sana siku hizi?
Shida yake Klopp
Shida yake Klopp
Kwanini naye ajidai kuwa anaweza kufanya miujiza na kupindua meza?
Kwanini asiwalie buyu hao walafi ili watoe pesa
Naye anapenda sifa za kijinga ili tu ionekane anaweza kufanya njia pasipo na njia.
Sent using Jamii Forums mobile app



afanye njia pasipo na njia
Manchester City have been charged by the Premier League for numerous breaches of financial rules, reports @martynziegler.
| Manchester City will not have PL titles stripped from them for the period relating to the financial breach.Pole bandugu....Bond. James Bond View attachment 2508171
Anajikuta mtenda miujizaafanye njia pasipo na njia