View attachment 2507706
Nyie haya wakati tunaona wachezaji wameelemewa na kasi ya Ligi mwenzenu Klopp anaona mengine kabisa.
Huyu mzee aanze kuvaa miwani hakuna namna aone mambo yalivyo in black n white sio hizi bla bla zake za kila siku.
Alihojiwa Conte akasema kikosi alichonacho pale Spurs ni cha kupambania nafasi ya 17 ama kutoshuka daraja hivyo kupambania ubingwa hio ndoto kwao hivyo mashabiki na wamiliki wawe realistic waache kudai impossibles..
Klopp akiri kikosi chake kilichompa mafanikio kimepita muda wake na kinahitaji kufumuliwa ili sasa ajenge upya nguvu ya pamoja ya kuingia vitani lakini Klopp being Klopp he is too nice kwa FSG kusema ukweli matokeo yake sasa na maswali ya waandisha wa habari anawakwepa kama jana kagoma kujibu swali la James Pearce haha Klopp utaelewa tu.
YNWA