Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Hapa umeongea nini mkuu yani hawa wachezaji usio waamini sio wa Kloop?Klopp namwamini lakini tuwe realistic kwa hali hii ya wachezaji hatuna uwezo huo wa big 4 labda wapone Arthur, Jota, Diaz, Firmino na walete nguvu na ari mpya kikosini lakini kama mambo ni haya haya ya kwenda kutazama mechi tukijua ni kipigo basi Klopp akumbali yaishe mapema kwamba mashabiki tusiwe na ndoto ya big 4.
Kumwamini Klopp sawa je wachezaji wanaaminika sasa kucheza mbinu anazotaka Klopp maana wenyewe ni kama wameshanyanyua mikono kwamba msimu huu wapo wapo kushiriki lakini sio kushindana.
YNWA
Majeruhi walipo na nafasi tuliopo bado havifanani kwamwe timu imepoteza morali jifanyeni hamuoni tu





