Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

It's just a matter of time, we're going to sing the same song
Subiri uone..
Screenshot_20230205_141310_com.android.chrome_edit_120395046838399.jpg

Screenshot_20230205_141317_com.android.chrome_edit_120378843485797.jpg

Screenshot_20230205_141326_com.android.chrome_edit_120368070320174.jpg

Screenshot_20230205_141343_com.android.chrome_edit_120353781046738.jpg

Screenshot_20230205_141403_com.android.chrome_edit_120340527605595.jpg

Screenshot_20230205_141449_com.android.chrome_edit_120320119084244.jpg


Nk nk....

YNWA
 
Screenshot_20230205_141744_com.android.chrome_edit_120607942166491.jpg

Gomez na Matip ni majanga tupu wakicheza pamoja hawana maelewano na wote kiwango kiko chini hivyo hakuna wa kusaidia mwingine.

Klopp ni muda sasa ampe nafasi Philips otherwise vipigo kwa Matip na Gomez vitaedelea tu.

Jana Matip hakupiga long ball hata moja ikifika sidhani hata kama ana tackling hata moja na eti ni senior CB pale Liverpool, Klopp yamemkuta.
Matip kupata rate ya 3.6 ni aibu kubwa sana japo timu nzima ipo chini sana lakini alitakiwa aweke bidii zaidi maana hii ni mechi ya pili uzembe wao pale nyuma unawapa opponent nafasi ya kufunga.

Bajectic kwa mara nyingine tena ameonyesha kwa nini anapata namba kikosini sasa.

YNWA
 
Wachezaji wafuatao wangekua Liverpool wangekua chagua la kwanza la Klopp 😂😂
Maguire
Ozil
Auba
Noble
Nicholas Pepe
Ronaldo
Bufon
Pique

Kocha lazima aelewe wachezaji wetu wamecheza bila benchi la kuwapa muda wa kupumzika kwa zaidi ya misimu minne wakicheza EPL, Carabao, FA, UCL na timu zao za Taifa hivyo kwa namna yoyote ile kuchuja kwao sio kwa bahati mbaya mbali ni wear n tear kwa kua sio ma robot. Klopp being super coach alitakiwa aelewe hili somo mapema sana. Sasa hali imemkuta hana pa kukimbilia anakoma nao kama vile wapo under 28 yrs kumbe ni ma babu.

Firmino mnamkumbuka alikua 1st line of defence kwa miaka mingi sana akiwa selfless kabisa na work rate moja matata sana kiasi ulikua unamkuta kati kati ku harass wapinzani na kuanzisha mashambulizi lakini sasa huo uwezo hana tena yaaani moyo unataka mwili unagoma.

Hakuna namna hapa sokoni lazima Klopp aingie na apewe sapoti haya ya kusema solution itatoka ndani ni kudanganyana tu hakuna wachezaji pale wa kushiriki mashindano yote na watoe full throttle football.

YNWA
 
sio kwamba watalipa kwa miaka 8.5 hapana, malipo ni namna walivokubaliana na klabu inayouza, ila wao kwenye vitabu vya uhasibu wanazisambaza hizo data kwenye sheet in a way that itasomeka matumizi ya kumnunua mchezaji husika ji 10m for that financial year....

kwaio ukija kuangalia expenses itaonekana zimetumika 10m, so wana evade ffp kwa style hio, thats why uefa wanataka kulimit urefu wa mkataba uwe 5yrs.....

in simple terms, timu inaweza kuspend 1b in a single season, lkn mikataba ya wachezaji wote atawapa ya miaka 10 (sasa say players wapo 10, na kila mmoja kanunuliwa kwa 100m totaling to 1b),

kihasibu itasomeka umetumia 100m a year only kwenye hizo transfer, kiasi ambacho kinakua within limits za ffp
Mhh inamaana next financial year utaonyesha tena 100M as tranfer fee expenses for the some players? Hakuna Auditing huko ulaya? Then what about due diligence, mfano PSV anasema mwaka huu kwenye mapato yetu tumepokea 45M from liverpool kwa mauzo ya Gakpo then Liverpool nyie mnasema tumelipa 10M for Gakpo au mimi sijakuelewa vyema because naona haileti sense kabisa mkuu.
 
Klop sio kocha wa makombe haiwezekani kocha una sacrifice msimu mzima kisa mchezaji mmoja

Ni kocha ambaye yuko radhi atengeneze timu kwa miaka minne ili achukue kombe moja

Ni heri aende tuu ili kama ni timu kudondoka idondoke kabisa wapatikane wamiliki wapya
 
Klop sio kocha wa makombe haiwezekani kocha una sacrifice msimu mzima kisa mchezaji mmoja

Ni kocha ambaye yuko radhi atengeneze timu kwa miaka minne ili achukue kombe moja

Ni heri aende tuu ili kama ni timu kudondoka idondoke kabisa wapatikane wamiliki wapya
Wazo lako nani amridhi Klopp akiachia ngazi maana sidhani kama FSG wana ubavu wa kumtimua.

Klopp is broken man. Wachezaji aidha hawamwelewi game plan ama kuna mgomo baridi pengine kuna mambo yapo chini ya kapeti hayatuyajui.

YNWA
 
Ishu ni nyingi sana hii klabu
Kwa mfano Salah anaelewa vyema mfungaji bora yupo Manchester City lakini bado utamuona anajaribu kufunga magoli kwenye impossible angle yaaani japo Klopp anamtetea kwamba kukosekana kwa ma comrade wenzie wawili pale mbele Firmino na Mane kumemuadhiri kiasi chake.

YNWA
 
Wazo lako nani amridhi Klopp akiachia ngazi maana sidhani kama FSG wana ubavu wa kumtimua.

Klopp is broken man. Wachezaji aidha hawamwelewi game plan ama kuna mgomo baridi pengine kuna mambo yapo chini ya kapeti hayatuyajui.

YNWA
Hakuna cha chini ya kapeti wala nini
Watoto wa watu nap wana mwili wa damu ma nyama.
Acha tufungwe tu.

Amuongeze Hendo na Milner mkataba.
Waichezee timu wanavyotaka.
Siangalii tena mechi ya Liver mimi

Liverpoor sio pool Tena🚮💔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom