Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Mkuu,wewe una mawazo kama yanguThomas Tuchel yupo
Yule harembirembi wachwzaji wachovu
Naona bora aje Tuchel.
Mkuu,wewe una mawazo kama yanguThomas Tuchel yupo
Yule harembirembi wachwzaji wachovu
Mane kuondoka Combo yao ilivurugika.Ishu ni nyingi sana hii klabu
Kwa mfano Salah anaelewa vyema mfungaji bora yupo Manchester City lakini bado utamuona anajaribu kufunga magoli kwenye impossible angle yaaani japo Klopp anamtetea kwamba kukosekana kwa ma comrade wenzie wawili pale mbele Firmino na Mane kumemuadhiri kiasi chake.
YNWA
Kote huko?Hahaha hakuna aliezaidi ya Liverpool sio kocha, wachezaji wala wamiliki.
Hivyo nae wakati wake ukifika aidha 2026 ama wakati uliopangwa atasepa tu. Destiny is destiny.
YNWA
Kwa hio mnasema aje atue Anfield mapema hii ama.Thomas Tuchel yupo
Yule harembirembi wachwzaji wachovu
Tuchelewe hana pigo za kishamba za kuwaplease mababuKwa hio mnasema aje atue Anfield mapema hii ama.
Ina maana mbele ya Thomas Henderson Gomez, Matip, Keita, Milner hawana kibarua Liverpool.
YNWA
kumbe Tuchelewe mlikuwa mnamkandia tu akiwa chelsea ila mnamkubali?Tuchelewe hana pigo za kishamba za kuwaplease mababu
Mimi sijawahi mkandia Mkuu,hata mlipomfukuza nilikuwa upande wake.kumbe Tuchelewe mlikuwa mnamkandia tu akiwa chelsea ila mnamkubali?
Ndoroooobo.....
Sioni mechi ya kushinda hata moja








😂 😂 😂 😂 Klopp ni babu anakomaa na ma babu wenzie changamoto sasa eti hakuna kombe ngazi ya klabu hawajashinda hivyo wanajiona ni ma legend pale Kops...Tuchelewe hana pigo za kishamba za kuwaplease mababu
Aondoke na FGS wake![]()
![]()
![]()
Klopp ni babu anakomaa na ma babu wenzie changamoto sasa eti hakuna kombe ngazi ya klabu hawajashinda hivyo wanajiona ni ma legend pale Kops...
Binafsi kama kweli Klopp ataona amefika mwisho wa kibarua chake Liverpool na akaamua kuachia ngazi basi ningepedelea atue Zidane, proven winner.
Kwa akili za FSG naona kabisa wakikomaa na Pep Lijnders au utaona wanatua kwa Gerrard kwa kua hawa wanapenda makocha watakaowasikiliza wao tu na si vinginevyo.
YNWA
Kama lukaku wa 90m alimtoa sembuse kina Gomez! Hata wamiliki akili zitawashika kwamba hawafanyi kazi na mr yes manKwa hio mnasema aje atue Anfield mapema hii ama.
Ina maana mbele ya Thomas Henderson Gomez, Matip, Keita, Milner hawana kibarua Liverpool.
YNWA
Hivi ule usajili wa Lukaku ndio ilisemekana haukua na baraka zake.Kama lukaku wa 90m alimtoa sembuse kina Gomez! Hata wamiliki akili zitawashika kwamba hawafanyi kazi na mr yes man
Sina cha 6 pak hii timu imenikodesha sana tangu mechi ya Brentford naona maruerue tu sielewi ujue...Aondoke na FGS wake
Watafute pahala pengine pa kuendekeza ubahili na Klopp kufanya miujiza na ramli
Li Matip Jana limenikera,
Hebu tupia sasa kale ka Selfie ka six pack.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii timu ikiwezekana wabaki wageni tu walionunuliwa.Sina cha 6 pak hii timu imenikodesha sana tangu mechi ya Brentford naona maruerue tu sielewi ujue...
Matip jana ilionekana shingo tu hakuna kingine pale.
Matip, Gomez, Keita, Milner Henderson mpaka sasa ma wakala wao waambiwe wakasake ugali kwingine tu maana tumechoka kuchekwa.
YNWA

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Klabuni wachezaji senior pale wakubaki ni AllisonHii timu ikiwezekana wabaki wageni tu walionunuliwa.
Wengine waondoke.,isipokuwa under 25 kama TAA.
Hebu tuone diet ya liver ilivyofanya maajabu ya weight loss
Sent using Jamii Forums mobile app