computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Acha kukariri for example nani alijua game ya Fulham Crystal Palace na Manchester United atakuwa na point 2 na goal difference negative?unasema tumeanza na timu rahisi Crystal Palace kapata point kwako na kwao kapata point 0 vs Arsenal na hakufunga hata goal 1 hapa Vieira ukimuuliza atakwambia game ya Liverpool kwa upande wake ilikuwa rahisi that's why kaokota point narudia bro acha kukariri yaliyopita huwezi linganisha na yajayo sababu yanayofuata hayajulikaniKushinda mechi tatu kwenye ligi haikupi ubingwa mkuu,
Mlishawahi kufanya hivyo 2004/2005 ubingwa ukaenda Chelsea.
Inaonesha wewe ni bado mtoto sana.
Ila hizo kelele zenu tunakumbukuzenu hata msimu wa mwaka juzi ligi ilivyoanza mlikuwa na kelele hivi hivi mwisho wa siku mliishia wapi?
Kuchukua ligi sio kushinda mechi 3 za mwanzo tu za ligi ,hata Chelsea waliongoza ligi mpaka mechi 12 lakini ajachukua ubingwa.
Kuongoz sasa ligi inategemea na ratiba uliyopewa inawezekana umeanza na mechi rahisi subiri mechi 19 pale mechi 38 tuone utakuwa unashika nafasi ya ngapi wewe,
Inaonekana umeanza kuangalia ligi juzi juzi tu wewe.
Akiumia tu huyo Gabriel Jesus,mtaanza kupoteana ,hawezi kucheza mechi zote huyo.ila sasa hivi mnakuwa wabishi sana.
Sisi tutakuwa tunawakumbusha tu.
Timu kibao bado mjachezanazo tayari kelele kibao eti mnachukua ubingwa,yaani ni kichekesho Cha mwaka iko.
Hata Chelsea tuliwaAmbia msimu uliopita hawana kikosi chakuchukua ubingwa hawakuelewa safari hii na nyinyi mmeenza kelele na nyinyi hamna kikosi Cha kuchukua ubingwa pale safari hii mmeanza na ratiba nyepesi kelele kibao.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app


