Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,551
- 10,798
Haya ni maoni yangu kwa kuangalia. Mara kadhaa tukio kama hilo limeitwa offside na var.Waswahili banaaaa wanataka wabishane mpaka na VAR.
Haya tufanye ni Offside Man 1-1 Liverpool umesharidhika?
