Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ladder49 .png
 
Hii game ya leo ishakua nuksi tayari, mtu jana katoka kugongwa goli 3 kwa nunge halafu hata hajaoga anaanza kukukumbatia na mijanaba yake.
Wewe takataka Mimi nawa sapoti ili mushinde angalau mupate kaushindi Cha kwanza ..halafu Kuna mbanga mmoja kaa wewe unapita pita na kanga yako moja imelowana unatingisha wowowo tu..
 
Jana mulifurahi Sana tulivyopigwa ee 😂😂 ..hii dunia Ni ndogo Sana😂😂😂
Mletee Nyunyeezi..eyaaa×2"
Mletee Nyunyeezi..eyaaa×2"

Ule msimu ulopita ulionesha dalili mbaya zinakuja kwenye hii timu takataka 🤣🤣🤣
Mletee Nyunyeezi..eyaaa×2"
Mletee Nyunyeezi..eyaaa×2"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom