Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Kweli malipo huwa ni hapa hapa dunian aisee

















Sijaelewa kwanini hii haikuwa offside.
Najiuliza how powerful is Milner na Henderson pale Liverpool yaaani sipati jibu..HONGERA MANCHESTER CITY KWA KUSHINDA LIGI (EPL) MSIMU WA 2022/2023.
Tuliobakia turogane kwenye Top Four.
Sasa nirudi na KING NGWABA kwa ajili ya Vita na Klopp! Hawezi kutuchezeshea genge lake la kina Milner nikamuangalia tu hata siku moja.
Ubingwa wako tena... Sijui Klopp atumie lugha gani hii timu iamke.Ule moto wa mabua wa man UTD ukawagonga kilain![]()
Hao wazee wawili kusema kweli wakicheza wanatukaba badala ya kutusaidia. Tunahitaji kiungo kabla ya dirisha kufungwa.Najiuliza how powerful is Milner na Henderson pale Liverpool yaaani sipati jibu..
Labda kwenye corridors of behind the scenes hawa jamaa Henderson na Milner wana ushawishi wa nguvu sana Liverpool kiasi hata Klopp anajikuta anakwenda nao kama walivyo mizigo...
Kuna Mfs kibao wa bei chee na wazuri lakini Klopp kwa kulinda namba za hawa watoto wa malkia anakomaa nao,..
Kimsingi msimu huu tuanze kuhesabu maumivu makali na Klopp kama Klopp anakufa na tai shingoni...
Pride comes before fall.
Upande wa mabeki ndio kabisa VVD na Trent kwa vile hawana mbadala wanacheza wanavyotaka... Goli la tatu msimu huu Trent kwa uzembe wake tunafungwo.
Wachezaji wamelewa sifa.
YNWA
Najiuliza how powerful is Milner na Henderson pale Liverpool yaaani sipati jibu..
Labda kwenye corridors of behind the scenes hawa jamaa Henderson na Milner wana ushawishi wa nguvu sana Liverpool kiasi hata Klopp anajikuta anakwenda nao kama walivyo mizigo...
Kuna Mfs kibao wa bei chee na wazuri lakini Klopp kwa kulinda namba za hawa watoto wa malkia anakomaa nao,..
Kimsingi msimu huu tuanze kuhesabu maumivu makali na Klopp kama Klopp anakufa na tai shingoni...
Pride comes before fall.
Upande wa mabeki ndio kabisa VVD na Trent kwa vile hawana mbadala wanacheza wanavyotaka... Goli la tatu msimu huu Trent kwa uzembe wake tunafungwo.
Wachezaji wamelewa sifa.
YNWA
Acha kukariri eti Manchester City wewe unajitambua kweli?Arsenal itafanya kama Leicester City 2016 utabaki unashangaa na kutoa mimacho yako Ligi bado mbichi na Arsenal pekee ndiye mwenye 9 points kwa kuwin games zote up to nowHONGERA MANCHESTER CITY KWA KUSHINDA LIGI (EPL) MSIMU WA 2022/2023.
Tuliobakia turogane kwenye Top Four.
Sasa nirudi na KING NGWABA kwa ajili ya Vita na Klopp! Hawezi kutuchezeshea genge lake la kina Milner nikamuangalia tu hata siku moja.
Una miaka mingapi kwenye umri wako?Acha kukariri eti Manchester City wewe unajitambua kweli?Arsenal itafanya kama Leicester City 2016 utabaki unashangaa na kutoa mimacho yako Ligi bado mbichi na Arsenal pekee ndiye mwenye 9 points kwa kuwin games zote up to now
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Stupid questionUna miaka mingapi kwenye umri wako?
narudia acha kukariri this is football
️ I was almost there, aliyeweka man U win kwa odds za 5 kama aliweka 10k jana leo anakunywa supu ya kuku wa kienyeji, aliyeweka 100k ana mshahara wa mfanyakazi wa ngazi ya tgs....haha! Liverkuku ndio basi tena.Utawaponza wenzio watupe laki nzima
Stupid question![]()
narudia acha kukariri this is football
️
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app