Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,427
- 11,151
Man city ana depth kubwa hivyo wachezaji wanarotate inawapunguzia probability ya kuumia2020-21 hali ya majeruhi ilikua hivi hivi, imejirudia tena 2022-23, chakujiuliza mbona Man City hawana hii trend, ni kwamba klopp anafuga injury prones ama kuna tatizo mahali
Mimi nimehoji kama free person maana timu yangu ni arsenal.
Tell herStupid question![]()
narudia acha kukariri this is football
️
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Stupid question![]()
narudia acha kukariri this is football
️
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Acha kukariri eti Manchester City wewe unajitambua kweli?Arsenal itafanya kama Leicester City 2016 utabaki unashangaa na kutoa mimacho yako Ligi bado mbichi na Arsenal pekee ndiye mwenye 9 points kwa kuwin games zote up to now
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
This is what we deserveMleteee Saint Anne
Sasa si upumbavu Kwa Klopp umetucostSaint Anne Mwakasensa
Nasubiri maoni yako



na laana ya Mane ipo kututafuna..angekuwepo angefunga Kwa gharama yoyote.Yaani wao wahangaike kukaba wakati akina Milner wanakula tu goodtime pale kati.Najiuliza how powerful is Milner na Henderson pale Liverpool yaaani sipati jibu..
Labda kwenye corridors of behind the scenes hawa jamaa Henderson na Milner wana ushawishi wa nguvu sana Liverpool kiasi hata Klopp anajikuta anakwenda nao kama walivyo mizigo...
Kuna Mfs kibao wa bei chee na wazuri lakini Klopp kwa kulinda namba za hawa watoto wa malkia anakomaa nao,..
Kimsingi msimu huu tuanze kuhesabu maumivu makali na Klopp kama Klopp anakufa na tai shingoni...
Pride comes before fall.
Upande wa mabeki ndio kabisa VVD na Trent kwa vile hawana mbadala wanacheza wanavyotaka... Goli la tatu msimu huu Trent kwa uzembe wake tunafungwo.
Wachezaji wamelewa sifa.
YNWA
Klopp haoni watuHao wazee wawili kusema kweli wakicheza wanatukaba badala ya kutusaidia. Tunahitaji kiungo kabla ya dirisha kufungwa.
Wakipona wataumia tenaHamna haja ya ku panic
Klopp atarekebisha haya,majeruhi watapona!
Hamna haja ya kuandika negatives kuhusu team
Hatuishiki lakini kama tunataka kuendelea kuwa on our prime lazima tusajili na lazima tuachie wachezaji ambao ni mzigo kwetu.Klopp haoni watu
Ngoja aende nao hao hao.
In Klopp we believe,,, sasahivi tutashika nafasi ya mwisho .
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sasa kama Anaondoa viungo halafu wababu wanaongezewa mikatabaHatuishiki lakini kama tunataka kuendelea kuwa on our prime lazima tusajili na lazima tuachie wachezaji ambao ni mzigo kwetu.
Henderson, Milner, Chamberlain, Keita. Ondoa hizi takataka. Leta watu wa kazi vioungo wanyumbulifu.





Wachezaji waliopo hawana fighting spirit Tena. Na mane aliliona hilo na ndio maana kakimbia. Kama ulimsikiliza interview ya salah juzi ni kuwa anachowaza now ni kuwa mfungaji bora WA muda wote WA Liverpool..... It's not about the team winning anymore.... Na ndio sababu ya kutaka kuongeza mkataba..... It's about him and not the club..... Chambo Milner should not be there msimu huu even keita.. Watu majeruhi kila sekunde but unawabeba WA nini Sasa.Hatuishiki lakini kama tunataka kuendelea kuwa on our prime lazima tusajili na lazima tuachie wachezaji ambao ni mzigo kwetu.
Henderson, Milner, Chamberlain, Keita. Ondoa hizi takataka. Leta watu wa kazi vioungo wanyumbulifu.