Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Poor Liverpool 💔
Dah
 

Attachments

  • IMG_20220823_124813_241.jpg
    IMG_20220823_124813_241.jpg
    325.9 KB · Views: 12
  • IMG_20220823_124819_840.jpg
    IMG_20220823_124819_840.jpg
    270.7 KB · Views: 11
Screenshot_20220824_081046_com.android.chrome_edit_72068810389523.jpg


😂😂😂😂😂😂Kabadilishia gear angani haha Klopp bhana kwani si alishasema kafunga biashara huku pengo la MF likionekana sasa mbona anaanza kama anatuma ujumbe kwa ma Yankees haha atulie hivyo hivyo tuone maajabu yake.

Huyo replacement wa Kieta atamtoa soko lipi...

Dirisha baada ya dirisha tunazidi kua weak, tulitoa Gini bila kununua mwingine, tumetoa Origi na Takumi bila kuwa replace sasa haya sasa sio kwa bahati mbaya...

Majeruhi ya Thiago, Matip, Keita sio jambo jipya wanajulikana hawa mili yao ni soft bones

Nwa Klopp knows better vision yake anaujua mwenyewe.

YNWA
 
Mkuu watoto hawata kuelewa aisee,wanajua kushinda mechi4 za mwanzo mfululizo ndio tayari wewe ni bingwa .nikiwasikilizaga nacheka sana.


Mimi ubingwa wangu ni baada ya mechi 19 (baada ya round ya kwanza Kuisha) tu, Chelsea msimu uliopita mpaka mechi 12 anaongoza ligi baada ya mechi 19 chali.

Unaweza kuongoza ligi kulingana na ratiba yako (ratiba yako umependelewa kuna baadhi ya timu hujacheza nazo) lakini baada ya mechi 19 itakuwa umeshacheza na kila timu .
Ama kweli wewe ni mbuzi unasema ratiba kupendelea timu,Palace kapigwa na Arsenal akaja kudraw na Liverpool,Fulham kadraw na Liver anaenda kukutana na arsenal...acheni kukariri nyie
 
View attachment 2333127

😂😂😂😂😂😂Kabadilishia gear angani haha Klopp bhana kwani si alishasema kafunga biashara huku pengo la MF likionekana sasa mbona anaanza kama anatuma ujumbe kwa ma Yankees haha atulie hivyo hivyo tuone maajabu yake.

Huyo replacement wa Kieta atamtoa soko lipi...

Dirisha baada ya dirisha tunazidi kua weak, tulitoa Gini bila kununua mwingine, tumetoa Origi na Takumi bila kuwa replace sasa haya sasa sio kwa bahati mbaya...

Majeruhi ya Thiago, Matip, Keita sio jambo jipya wanajulikana hawa mili yao ni soft bones

Nwa Klopp knows better vision yake anaujua mwenyewe.

YNWA
Origi alikuwa anatuokoa mechi ngumu kwetu kama ya juzi baada ya wengine wote kugonga mwamba.
 
Wachezaji waliopo hawana fighting spirit Tena. Na mane aliliona hilo na ndio maana kakimbia. Kama ulimsikiliza interview ya salah juzi ni kuwa anachowaza now ni kuwa mfungaji bora WA muda wote WA Liverpool..... It's not about the team winning anymore.... Na ndio sababu ya kutaka kuongeza mkataba..... It's about him and not the club..... Chambo Milner should not be there msimu huu even keita.. Watu majeruhi kila sekunde but unawabeba WA nini Sasa.
Firminho should have gone and find another striker..... Tutafute watu wapya wenye njaa. Hawa waliopo wameshinda kila kitu wameshiba ndo maana wamebaki kutafuta individuals prize zaidi.
Labda wanachosema ni kweli "Klopp ni bora kwa kutengeneza Timu but RE-BUILD the Team ndio kitu kinamshindaga everytme. Kwa jinsi ligi ya epl ilivyo Sasa kushinda LIGI ni ndoto Sasa hivi. Tutabaki na CL pekee.
Find another striker?? Si mmeshampata Nunez mkuu??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20220824_184106_com.android.chrome_edit_103522306375349.jpg


Aisee... Huku Liverpool bado tunao wachezaji 7 kikosini waliocheza fainali ya UCL mwaka 2018.
Bado wamo hawa hapa
VVD
Salah
Henderson
Milner
Firmino
Robertson
Trent.

Timu imeganda kama barafu haina plan B wala C maana wachezaji ni wale wale mfumo ule ule...kocha wa Manchester United has some tough balls kumweka benchi Muingereza Maguire na Ronaldo gemu kubwa vs Liverpool ilionyesha who is the boss.. Na kwa manufaa ya timu that was needed... Ingekua ishu wangepigwa lakini sasa kashinda inaonyesha ni some tough master call..

Klopp angemsikiliza Anceloti baada ya Fainali ya mwaka huu UCL naamini angeelewa ilivyo sasa rahisi kukamatika na timu pinzani. Yaaani block Trent na Robbo na hatuna jipya. Nilitegemea sana kuona Klopp akitumia 4 3 2 1 kwa kuja kivingine lakini tumo pale pale na 4 3 3 high intensity na kikosi cha wazee wetu...

Goli la Vinicius lilitokea kwa Robbo na kufungwo upande wa Trent baada ya hapo ni kama sasa kila timu pinzani wanakopi mbinu za babu Carlo Anceloti kutuzima...

Klopp asipojiangalia yatamkuta ya Bill Shankly kuwang'ang'ania wazee huku timu kila kukicha wakitujulia mbinu mpya za kutufunga sababu kweli wanataka kukimbiza lakini mwili hautaki...

Kuanzia VVD, Henderson, Matip, Milner, Thiago hawa wote ni over 30 years na wote wakiwa wazima Klopp humwambiii kitu ataweka wote...

Ni muda rasmi sasa Fabio na Bajetic wapewe nafasi ramsi 1st 11 kwa vile sasa wazee wameonyesha kushindwa kwenda na kasi ya vijana.

YNWA
 
Hata tupige kelele vipi lakini wapi 😂😂😂
😂 😂 😂 Hua nacheka sana ishu ya huyu dogo Henderson yaaaaani utasikia wakimsema kwa maneno haya.... What a leader, what a captain, a gentleman man in and out of the field... Hahah ajabu husikii stat zake za pass, magoli nk yaaani duniani bahati ipoooooo.

YNWA
 
View attachment 2333744

Aisee... Huku Liverpool bado tunao wachezaji 7 kikosini waliocheza fainali ya UCL mwaka 2018.
Bado wamo hawa hapa
VVD
Salah
Henderson
Milner
Firmino
Robertson
Trent.

Timu imeganda kama barafu haina plan A maana wachezaji ni wale wale mfumo ule ule...

Klopp angemsikiliza Anceloti baada ya Fainali ya mwaka huu UCL naamini angeelewa ilivyo sasa rahisi kukamatika na timu pinzani. Yaaani block Trent na Robbo na hatuna jipya. Nilitegemea sana kuona Klopp akitumia 4 3 2 1 kwa kuja kivingine lakini tumo pale pale na 4 3 3 high intensity na kikosi cha wazee wetu...

Goli la Vinicius lilitokea kwa Robbo na kufungwo upande wa Trent baada ya hapo ni kama sasa kila timu pinzani wanakopi mbinu za babu Carlo Anceloti kutuzima...

Klopp asipojiangalia yatamkuta ya Bill Shankly kuwang'ang'ania wazee huku timu kila kukicha wakitujulia mbinu mpya za kutufunga sababu kweli wanataka kukimbiza lakini mwili hautaki...

Kuanzia VVD, Henderson, Matip, Milner, Thiago hawa wote ni over 30 years na wote wakiwa wazima Klopp humwambiii kitu ataweka wote...

Ni muda rasmi sasa Fabio na Bajetic wapewe nafasi ramsi 1st 11 kwa vile sasa wazee wameonyesha kushindwa kwenda na kasi ya vijana.

YNWA
Sisi Henderson tunaye hadi mwaka 2027🤣😂😂😂😂😂
Babu Milner naye si ajabu atabaki tena
 
😂 😂 😂 Hua nacheka sana ishu ya huyu dogo Henderson yaaaaani utasikia wakimsema kwa maneno haya.... What a leader, what a captain, a gentleman man in and out of the field... Hahah ajabu husikii stat zake za pass, magoli nk yaaani duniani bahati ipoooooo.

YNWA
Atapangwa kuanza mechi zote na hakuna kitu tutafanya😂💔
 
View attachment 2333744

Aisee... Huku Liverpool bado tunao wachezaji 7 kikosini waliocheza fainali ya UCL mwaka 2018.
Bado wamo hawa hapa
VVD
Salah
Henderson
Milner
Firmino
Robertson
Trent.

Timu imeganda kama barafu haina plan A maana wachezaji ni wale wale mfumo ule ule...

Klopp angemsikiliza Anceloti baada ya Fainali ya mwaka huu UCL naamini angeelewa ilivyo sasa rahisi kukamatika na timu pinzani. Yaaani block Trent na Robbo na hatuna jipya. Nilitegemea sana kuona Klopp akitumia 4 3 2 1 kwa kuja kivingine lakini tumo pale pale na 4 3 3 high intensity na kikosi cha wazee wetu...

Goli la Vinicius lilitokea kwa Robbo na kufungwo upande wa Trent baada ya hapo ni kama sasa kila timu pinzani wanakopi mbinu za babu Carlo Anceloti kutuzima...

Klopp asipojiangalia yatamkuta ya Bill Shankly kuwang'ang'ania wazee huku timu kila kukicha wakitujulia mbinu mpya za kutufunga sababu kweli wanataka kukimbiza lakini mwili hautaki...

Kuanzia VVD, Henderson, Matip, Milner, Thiago hawa wote ni over 30 years na wote wakiwa wazima Klopp humwambiii kitu ataweka wote...

Ni muda rasmi sasa Fabio na Bajetic wapewe nafasi ramsi 1st 11 kwa vile sasa wazee wameonyesha kushindwa kwenda na kasi ya vijana.

YNWA
Matip wangu jamani🤣
Klopp aendelee kuziba sikio
 
Sisi Henderson tunaye hadi mwaka 2027🤣😂😂😂😂😂
Babu Milner naye si ajabu atabaki tena
Hawa wapo.... Unawaacha Gini na Mane wasepe zao unabakisha wagonjwa hii japo halisemwa kwa sauti ni janga kutoka kwa Edwards na ma Yankees.

Eti Klopp anasema asiulizwe kuhusu kununua wachezaji sio yeye mwenye hayo maamuzi na hapangi yeye nani ananunuliwe na kwa wakati gani 😂😂😂😂 kama ni hivyo alitoa wapi yale maneno hategemei kuongeza tena mchezaji yaaani Klopp pasua haelewi ashike lipi aache lipi... Mpaka sasa hana ushindi huku akiwa ametoa ahadi tuwe na tiketi mkononi kwenda ma fainali kibao... Kwa dalili hizi wala hakuna jipya ni same old same old Klopp..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom