Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hii timu kwa sasa bado inamtegemea milner firmino kweli?,,,hadi hapo klop namzidi akili kwenye hilo
 
Huyu ni mpumbavu tumvute Gerrard sasa
Simple as ABC... Hawa Manchester United, Arsenal, Chelsea nk hawatapoteana milele... Hii ndio EPL kutesa kwa zamu... Tulikua na bahati kubwa mno tangu 2015 hizo timu zote hazijakaa sawa na Pep na Manchester City kuona hilo hawakufanya makosa wakawekeza vyema kikosini na kushinda makombe ya kutosha, sawa zama zimebadilika Arsenal, Manchester United, Tottenham wamechoka kua punching bag ya the big boys wanataka heshima yao irejee huku Liverpool tukitegemea kwamba ni business as usual haya sasa matokeo ya gemu 3 za mwanzo ndio haya sare 2,kipigo kimoja hakuna alietarajia haya...

Klopp kama Klopp atakupa raha na atakufanya unune yaaani kazi ipo

YNWA
 
All in all we lack players all we have is the group of grannies
The moment i saw the England bams(Elliott, Henderson na Milner) on the 1st 11 i knew we are in for a shock of August 2022.

Plus VVD, Trent defending kama tunacheza pre season... Hawa wachezaji hawana njaa wanajua hakuna mbadala kikosini ndio maana wanacheza as if we have won the league....

Sijui leo Klopp atasingizia joto au 😂😂

YNWA
 
Simple as ABC... Hawa Manchester United, Arsenal, Chelsea nk hawatapoteana milele... Hii ndio EPL kutesa kwa zamu... Tulikua na bahati kubwa mno tangu 2015 hizo timu zote hazijakaa sawa na Pep na Manchester City kuona hilo hawakufanya makosa wakawekeza vyema kikosini na kushinda makombe ya kutosha, sawa zama zimebadilika Arsenal, Manchester United, Tottenham wamechoka kua punching bag ya the big boys wanataka heshima yao irejee huku Liverpool tukitegemea kwamba ni business as usual haya sasa matokeo ya gemu 3 za mwanzo ndio haya sare 2,kipigo kimoja hakuna alietarajia haya...

Klopp kama Klopp atakupa raha na atakufanya unune yaaani kazi ipo

YNWA
No imetosha sasa hii timu ibadilike karibia misimu mitano timu inabadilika kidogo tu......ndo maana fainali 3 za uefa tumeshinda 1...mfumo ulele wa kutumia nguvu mno...mwisho wa siku mechi nyingi ushindi karabao na fa
 
Tumesajir mchezaj kwa gharama kubwa aje atusaidie yeye anatusaidia kuwapiga wapinzan wetu vichwa

HV jota vp naye mda sasa simuon uwanjan au naye trip shamba trip garage

Ox na keita hawakutakiwa kuwa mpaka leo wachezaj ambao nusu ya msimu wanauguza majeraha utadhan wanamimba

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyo mchezaji mliyemsajiri mlimwambia mnahitaji msaada gani?
 
Tumesajir mchezaj kwa gharama kubwa aje atusaidie yeye anatusaidia kuwapiga wapinzan wetu vichwa

HV jota vp naye mda sasa simuon uwanjan au naye trip shamba trip garage

Ox na keita hawakutakiwa kuwa mpaka leo wachezaj ambao nusunya msimu wanauguza majeraha utadhan wanamimba

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mm mwenyewe nilishindwa kuelewa unamuacha haaland wa bei chee unaenda beba kinda lisilo na uzoefu kwa $ dola almost 100m plus add on's....daaah
 
No imetosha sasa hii timu ibadilike karibia misimu mitano timu inabadilika kidogo tu......ndo maana fainali 3 za uefa tumeshinda 1...mfumo ulele wa kutumia nguvu mno...mwisho wa siku mechi nyingi ushindi karabao na fa
Haha Klopp mzee wa kikosi kiduchu yaaani kwa sasa hata Tottenham wana kikosi kipana kuliko Liverpool...

Tazama umri wa wachezaji tegemezi wa Liverpool utaelewa nini tutegemee msimu huu kama haya majeruhi yanazidi kuedelea kwa kasi hii.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom