Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hey kops, salam.
Leo usiku tuna sababu kama 4 hivi za kuwatandika united.
1. Kupata ushindi wa kwanza msimu huu wa 2022-20-23.
2. Kurudisha ile winning mentality ya msimu uliopita.
3. Kupunguza gap dhidi ya city ( sio kina Aseno na spurs) maana sio washindani wenzetu. Ref city kadondosha point 1 jana.
4. Kuwapiga united wapinzani wetu kwa Uingereza.
5. Kuwapa furaha wapenzi na washabiki kite duniani.

Chriss Sutton, bbc pundit anasema pamoja na liverpool kuwakosa wachezaji wake bora lakini haoni ni kwa namna gani wataepuka kipigo pale OT. Katabiri game itaisha kwa ushindi mnono wa liverpool wa 5-1.
Mimi natabiri tutapata ushindi wa goals 2-0.
Msimu huu mnatakiwa mfanye expectations zenu ziwe low
City msimu huu sio mshindani wenu nyie nao mko na kina Chelsea, Spurs na Arsenal ndo watakuwa washindani wenu.
Kwa hii midfield yenu ya kuunga unga na hawa injury prone wenu msimu huu mtajua hamjui na kilicho wafanya muwe na kiburi kushindwa kumuongezea Mane mshahara msimu huu had mkamuuza iyo dhambi itawatafuna mdg mdg.
 
Mm mwenyewe nilishindwa kuelewa unamuacha haalan wa bei chee unaenda beba kinda lisilo na uzoefu kwa $ dola almost 100m plus add on's....daaah
By the way Darwin ain't the missing puzzle rather than the pedestrians MF ya wazee wetu,they rarely raise to th3 occasion when needed tazama leo Anorld na Robertson wamebanwa haswa hivyo ilikua zamu ya MFs wafanye creation lakini kama kawaida wapo wapo....

YNWA
 
Ladder.png
 
Tafadhali mkishinda usije usije jukwaani kwetu kusumbua.

Maana hauna kwingine kwa kwenda.
kenge la darajani limeshaanza kuweweseka.
Mwambieni Koloboi-Kalabai asiwe na wasiwasi Maguire yupo njiani anakuja kumsaidia kuimarisha safu ya ulinzi.
 
Hey kops, salam.
Leo usiku tuna sababu kama 4 hivi za kuwatandika united.
1. Kupata ushindi wa kwanza msimu huu wa 2022-20-23.
2. Kurudisha ile winning mentality ya msimu uliopita.
3. Kupunguza gap dhidi ya city ( sio kina Aseno na spurs) maana sio washindani wenzetu. Ref city kadondosha point 1 jana.
4. Kuwapiga united wapinzani wetu kwa Uingereza.
5. Kuwapa furaha wapenzi na washabiki kite duniani.

Chriss Sutton, bbc pundit anasema pamoja na liverpool kuwakosa wachezaji wake bora lakini haoni ni kwa namna gani wataepuka kipigo pale OT. Katabiri game itaisha kwa ushindi mnono wa liverpool wa 5-1.
Mimi natabiri tutapata ushindi wa goals 2-0.
😂😂😂😂
 
That rotten midfield needs a complete reinvention. Hendo, Milner, Bobby, Ox and Keita are embarrassing. Not even suitable squad options nevermind 3 of those starting and being dominated by the worst Utd squad in decades. Golden era ends with 1 PL + 1CL . We are fu**ed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom