Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Firmino kwa sasa sio chaguo la kwanza na uwezo wake umeshuka kidogo.

Mkuu umeshuka kwenye mechi gani? Mechi na Fulham?

Au na mechi dhidi ya man city. Mchezaji gani hajawahi kushuka kiwango hapo epl?

Mashabiki wa Liverpool tumeanza kuwa wa hovyo siku hizi.

Maneno yote hayo kutoka na sare dhidi ya Fulham tu.
 
Nimekuja kwenye conclusion baada ya kuwaza na kuwazua kwa mda mrefu, msimu huu ukiwa mbaya ni Klopp kajitakia mwenyewe, maana since Preseason alisema hasajili na pengo la midfield lilionekana wazi, kaumia ox, kaumia thiago mzee bado anakomaa hasajili sio kwamba kanyimwa fungu hapana ni yeye anasema alionao wanamtosha. On this FSG can sit out. Lets see how Klopp will emerge as a winner on this one, i wanna see how this play out.
 
Nimekuja kwenye conclusion baada ya kuwaza na kuwazua kwa mda mrefu, msimu huu ukiwa mbaya ni Klopp kajitakia mwenyewe, maana since Preseason alisema hasajili na pengo la midfield lilionekana wazi, kaumia ox, kaumia thiago mzee bado anakomaa hasajili sio kwamba kanyimwa fungu hapana ni yeye anasema alionao wanamtosha. On this FSG can sit out. Lets see how Klopp will emerge as a winner on this one, i wanna see how this play out.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Kwa hio Klopp anatafuta headlines kwamba alishinda EPL 2022 2023 akiwa na MF pedestrian na nusu ya msimu hao MF wakiwa Male ward kwa Andrew Massey.

Klopp is just being stubborn anapenda sana kufanya kinyume na matarjio ya wengi..

Hili lipo wazi Fabinho is over used. Hao wengine hakuna mwenye uhakika wa kukupa unachotaka.

YNWA
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Kwa hio Klopp anatafuta headlines kwamba alishinda EPL 2022 2023 akiwa na MF pedestrian na nusu ya msimu hao MF wakiwa Male ward kwa Andrew Massey.

Klopp is just being stubborn anapenda sana kufanya kinyume na matarjio ya wengi..

Hili lipo wazi Fabinho is over used. Hao wengine hakuna mwenye uhakika wa kukupa unachotaka.

YNWA
Kwa speed waliyonayo Spurs na Man City nija hakoka atatafuta Kiungo tu. Jana Man City wanafanya sub kama wako kwemye sherehe.....ni bonge la buffet. Katoa MD watatu kaingiza Watatu.
Sijui kwa nini anaogopa kutanua kikosi na kapunguza wachezaji wa kutosha tu.i ubingwa kwa timu yenye majeruhi wa kudumu wa kiasi hiki hakuna. Tunapaswa kujipigia hizi midtable ili kupambana na wazee wenzetu.
City tayari kajichukulia ugenini point 3 kwa Hammers. Huyu huyu Hammers hutusumbua sisi, huenda tukaangusha alama kwake takribani 4.
 
Kuna muda mechi inaendelea Klopp amekalia kitu kama 1st aid kit hivi jekundu mfuniko mweupe, kainama mithili ya mtu anayewaza sana. Hope ilikua anawaza "yes i know i have weak midfield but how can i swallow my statements in a public about new signings"
 
Nimekuja kwenye conclusion baada ya kuwaza na kuwazua kwa mda mrefu, msimu huu ukiwa mbaya ni Klopp kajitakia mwenyewe, maana since Preseason alisema hasajili na pengo la midfield lilionekana wazi, kaumia ox, kaumia thiago mzee bado anakomaa hasajili sio kwamba kanyimwa fungu hapana ni yeye anasema alionao wanamtosha. On this FSG can sit out. Lets see how Klopp will emerge as a winner on this one, i wanna see how this play out.
Ox kaumia Anachezaga wapi?
 
Hapana aisee mane alikuwa anawapa option nyingi

Nunez ashukuru Liverpool wanatengeneza chance after chance, ataokota magoli ,Ila Bado msimtegemee sana

Mkuu mimi ni Chelsea damu damu ila mchezaji akiwa mzuri nampa big up.

Hata kwenu pale mchezaji mliemsaji mzuri ne Zinchenko. Hapa mmepata mtu nilimkubali toka akiwa city. Atawasaidia sana
 
Kwa speed waliyonayo Spurs na Man City nija hakoka atatafuta Kiungo tu. Jana Man City wanafanya sub kama wako kwemye sherehe.....ni bonge la buffet. Katoa MD watatu kaingiza Watatu.
Sijui kwa nini anaogopa kutanua kikosi na kapunguza wachezaji wa kutosha tu.i ubingwa kwa timu yenye majeruhi wa kudumu wa kiasi hiki hakuna. Tunapaswa kujipigia hizi midtable ili kupambana na wazee wenzetu.
City tayari kajichukulia ugenini point 3 kwa Hammers. Huyu huyu Hammers hutusumbua sisi, huenda tukaangusha alama kwake takribani 4.
Mkuu Klopp ana pride moja ya ajabu sana...yaaani hua anakufa na tai shingoni lakini akikamatika hua anapoa kama maji ya mtungi kwa mfano Klopp huyu huyu aliwai kusema hawezi kununua mchezaji wa £80m nadhani ilikua kipindi Pogba ananunuliwa Manchester United kwa £89m, baadae Klopp huyu huyu akaja kumnunua VVD na sasa Nunez kwa bei za kutisha.. Hivyo huyu atapoa tu muda utasema tu maana ushindi wa pointi 3 ndio kazi yake pale maneno mengi wala hayana tija.

Ishu ya kuwang'ang'ania unashangaa aje wakati kwa mfano hisoria ya majeruhi ya Thiago na Chamberlain ipo well documented tangu wapo Arsenal na Bayern sijui alitegemea muujiza upi wakihamia kwetu...

Kwa sasa tuwe na subira wagonjwa wapone waje kuamsha hakuna lingine...

Hili la Hammers last season kwao tulipigwa safi kabisa. Ukitazama MF ya Pep inatisha na wote ni ballers hakuna bams pale hakika ubingwa ni mali yao kabisaaa. Tazama MFs pale Ethad ni Rodri, Bernado, Gudgon, Philips, Debruyne wote hao ni kazi kazi. AMW kwao ni Foden, Mahrez na Grealish.

Nwa nina imani na Klopp atafanya jambo sokoni kwa wakati ambao ataona ni sahihi kwake.

YNWA
 
Kwa hio Klopp anatafuta headlines kwamba alishinda EPL 2022 2023 akiwa na MF pedestrian na nusu ya msimu hao MF wakiwa Male ward kwa Andrew Massey.

Klopp is just being stubborn anapenda sana kufanya kinyume na matarjio ya wengi..

Hili lipo wazi Fabinho is over used. Hao wengine hakuna mwenye uhakika wa kukupa unachotaka.

YNWA
Heheheh mimi nasubiri kuona hicho kiburi chake kitamfikisha wapi maana ni wazi kuna ombwe la midfield pale ila anajifanya anakomaa na hendo na thiago na keita ambao wao mda mwingi wapo wodini. Toa mpunga kachukue barella au frenki de jong huko hatakiwi halafu unatulia uone ndoo ya epl inakuja yenyewe pale anfield.
 
Mkuu umeshuka kwenye mechi gani? Mechi na Fulham?

Au na mechi dhidi ya man city. Mchezaji gani hajawahi kushuka kiwango hapo epl?

Mashabiki wa Liverpool tumeanza kuwa wa hovyo siku hizi.

Maneno yote hayo kutoka na sare dhidi ya Fulham tu.
kuhusu huyu bwana ni tangu msimu uliopita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom