Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Na Thiago majeruhi na Klopp wala hana mpango wa kusajili aisee huyu Klopp hua namkumbali sana kwa misamamo tata maana unaacha kusajili huku pale kati pamejaa utopolo na wagonjwa yaaani hayaaaaaaaa.Ultushapigwa
YNWA



