View attachment 2316546
Aisee mwenye namba ya Klopp ampigie amwambie wingi wa Midfielders Liverpool sio hoja mbali ubora wao na kwa waliopo sasa sio levo zinazotupeleka kileleni.
Nashindwa kuelewa jambo hili, Klopp alijua fika msimu uliopita kwamba atahitaji kununua MF ndio akazama mazima kwa Tchouameni dogo akasepa zake Real Madrid sasa Klopp anavyolalamika kwamba MF haikua bora leo alitegemea nini kwa MF wale wale wa msimu uliopita.
Unasaka ushindi aafu unamwingiza Milner.
Klopp is damn too loyal. Sio bure.
Imagine unasaka ushindi ukiwa na Milner na Henderson kama MF jamani nyie haya.
Kama vile hii ishu ya Tchouameni ilikua PR ya FSG kutuaminisha wanampa sapoti Klopp...
Sare ya leo ni safi dirisha likiwa wazi hatutaki lawama kutoka kwa Klopp tunataka ushindi sisi.
YNWA