OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Lile goli alofunga asee Ni Tamu sana unaeza mezea hata na ugali ..semaa bado tumpe mechi kadhaa tu hapo atapoteanaSi OllaChuga Oc alisema tumepigwa!
Haya sasa mnajionea😃
Lile goli alofunga asee Ni Tamu sana unaeza mezea hata na ugali ..semaa bado tumpe mechi kadhaa tu hapo atapoteanaSi OllaChuga Oc alisema tumepigwa!
Haya sasa mnajionea😃
Ngoja tuone mpaka dirisha linafungwo atatufikisha wapi huyu stubborn Nazi kwenye usajili...Heheheh mimi nasubiri kuona hicho kiburi chake kitamfikisha wapi maana ni wazi kuna ombwe la midfield pale ila anajifanya anakomaa na hendo na thiago na keita ambao wao mda mwingi wapo wodini. Toa mpunga kachukue barella au frenki de jong huko hatakiwi halafu unatulia uone ndoo ya epl inakuja yenyewe pale anfield.
Kwahiyo hatujapigwa?!Lile goli alofunga asee Ni Tamu sana unaeza mezea hata na ugali ..semaa bado tumpe mechi kadhaa tu hapo atapoteana
Ningekuwa mimi Thiago ningeumia kila siku ili akili iwakae sawa Hawa mafala viongozi wasiotaka kuongeza kikosi ila wanataka wenzao wacheze bandika bandua kama mashine.Heheheh mimi nasubiri kuona hicho kiburi chake kitamfikisha wapi maana ni wazi kuna ombwe la midfield pale ila anajifanya anakomaa na hendo na thiago na keita ambao wao mda mwingi wapo wodini. Toa mpunga kachukue barella au frenki de jong huko hatakiwi halafu unatulia uone ndoo ya epl inakuja yenyewe pale anfield.
Akiwa na Midfield inayoongozwa na Captain letu la dunia 😂😂😂 😂 😂 😂 😂 😂 Kwa hio Klopp anatafuta headlines kwamba alishinda EPL 2022 2023 akiwa na MF pedestrian na nusu ya msimu hao MF wakiwa Male ward kwa Andrew Massey.
Klopp is just being stubborn anapenda sana kufanya kinyume na matarjio ya wengi..
Hili lipo wazi Fabinho is over used. Hao wengine hakuna mwenye uhakika wa kukupa unachotaka.
YNWA
😂😂😂😂😂😂😂Klopp atatuvusha salama kote kama alivyotuvusha miaka yote 🤓🤓🤓 namkumbuka Mzee Wenger ndio haya yanayomkuta Klopp i guess ni mid age crisi 🙈🙈🙈kwamba the Gaffer is always right....Akiwa na Midfield inayoongozwa na Captain letu la dunia 😂😂
Yaani Hendo akacheze ili eti tushinde EPL ,,we haya tu
Safari hii ,kwa hii midfield siyo Carabao ,UCL Wala hiyo FA..tutatoka mapema sana,,robo fainali tu tutaisikilizia redioni.
Huyu ili tumfaidi vyema anahitajika MF wa pasi mkasi.Namkubali huyu dogo.
Kwa Sasa ivi anajitahidi ili kutu pruvu wrong sisi wakulungwa. Ila ngoja tuone itakuwaje 😀😀😀Kwahiyo hatujapigwa?!
Mwaka huu mtatupigia ramli zote 😂😂😂😂
Labda kutuvusha mto😂😂😂😂😂😂😂😂Klopp atatuvusha salama kote kama alivyotuvusha miaka yote 🤓🤓🤓 namkumbuka Mzee Wenger ndio haya yanayomkuta Klopp i guess ni mid age crisi 🙈🙈🙈kwamba the Gaffer is always right....
Ngoja tuone.
YNWA
Sawa ngoja awashangaze 😂😂Kwa Sasa ivi anajitahidi ili kutu pruvu wrong sisi wakulungwa. Ila ngoja tuone itakuwaje 😀😀😀
Jamani ligi ndio imeanza... its sad fulham anawatoa jasho....
Niliwadhamini kwamba mna timu nzuri mmeanza kunipa wasiwasi.
Fanyeni usajili au mnipee Saint Anne
Acha niwaamini Totte. Only kwa sababu ya Conte na si vinginevyo.
Naimani na MilnerNgoja tuone mpaka dirisha linafungwo atatufikisha wapi huyu stubborn Nazi kwenye usajili...
Shabiki mwenye imani humu na MF yetu hakika anastahili pongezi.
YNWA



Namtaman Sana barella...daah basii TUHeheheh mimi nasubiri kuona hicho kiburi chake kitamfikisha wapi maana ni wazi kuna ombwe la midfield pale ila anajifanya anakomaa na hendo na thiago na keita ambao wao mda mwingi wapo wodini. Toa mpunga kachukue barella au frenki de jong huko hatakiwi halafu unatulia uone ndoo ya epl inakuja yenyewe pale anfield.
Wee jamaaa NI MCHAWI SANA,Lile goli alofunga asee Ni Tamu sana unaeza mezea hata na ugali ..semaa bado tumpe mechi kadhaa tu hapo atapoteana

Labda yule wa Ethad kipindi hana ndevuðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£Naimani na Milner![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja nicheke kama mazuri, haya muda hua hakwepeshi.Labda kutuvusha mto😂
Wasipopanua kikosi kati hatuvuki popote hata afanye mazingaombwe kiasi gani😂😂😂
Wale wote mnaosema"In Klopp we believe"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja nicheke kama mazuri, haya muda hua hakwepeshi.
YNWA
Yaani hadi aje afanye kitu sokoni ,City watakuwa washatuacha point nyingi,Mkuu Klopp ana pride moja ya ajabu sana...yaaani hua anakufa na tai shingoni lakini akikamatika hua anapoa kama maji ya mtungi kwa mfano Klopp huyu huyu aliwai kusema hawezi kununua mchezaji wa £80m nadhani ilikua kipindi Pogba ananunuliwa Manchester United kwa £89m, baadae Klopp huyu huyu akaja kumnunua VVD na sasa Nunez kwa bei za kutisha.. Hivyo huyu atapoa tu muda utasema tu maana ushindi wa pointi 3 ndio kazi yake pale maneno mengi wala hayana tija.
Ishu ya kuwang'ang'ania unashangaa aje wakati kwa mfano hisoria ya majeruhi ya Thiago na Chamberlain ipo well documented tangu wapo Arsenal na Bayern sijui alitegemea muujiza upi wakihamia kwetu...
Kwa sasa tuwe na subira wagonjwa wapone waje kuamsha hakuna lingine...
Hili la Hammers last season kwao tulipigwa safi kabisa. Ukitazama MF ya Pep inatisha na wote ni ballers hakuna bams pale hakika ubingwa ni mali yao kabisaaa. Tazama MFs pale Ethad ni Rodri, Bernado, Gudgon, Philips, Debruyne wote hao ni kazi kazi. AMW kwao ni Foden, Mahrez na Grealish.
Nwa nina imani na Klopp atafanya jambo sokoni kwa wakati ambao ataona ni sahihi kwake.
YNWA