Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kikosi bora cha Uefa msimu huu.

Screenshot_20220529_152459_com.huawei.intelligent_edit_337964482909367.jpg


Siwaoni Chelsea hapo. Asanteni kwa kushiriki jamani.

YNWA
 
Hakuna mwanzo usiokua na mwisho ndugu. Huyu dogo sisemi odoke sababu hana jipya hapana ishu hapa ni model ya FSG kwenye usjili wa uza ndio nunua huku wakitupia jicho kwenye payroll sasa kama Klopp atahitaji kuingia sokoni hakuna namna lazima hapa aamue kuuza ili aedane na matakwa ya FSG... Kwa hawa wamiliki ni kikwazo kwa Klopp kua n kikosi cha ushindani kwenye nafasi muhimu. Usione akina Mane wanasepa zao ni kwamba ni michosho kukuza hii brand huku wakilipwa kiduchu, tazama Sancho anakula £350k kwa wiki huku Mane akilipwa £100k kwa wiki na umri ndio huo umekwenda vile duuh.. Maisha noma sanaa..
Wewe tazama kwa Manchester City bila kuuza wamesajili ma fowadi wawili Erling na Alvarez hii inatuma ujumbe kwa wengine tujipange.

Na Chelsea mnaelekea kua chini ya 'FSG' wapya maana na huyo bosi mpya ni Yankees hivyo mjiadae kuuza ndio mnunue

YNWA
Duuhh Mane anapokea £100000? Ni ndogo sana ukilinganisha kazi anayoifanya
 
Don Carlos sio mtu mzuri kabisa. Timu imejaa vibabu Kross, Benzema, Modric nk lakini duuuh ni utulivu yaaani wanatuacha mpira tucheze sie wao ni kaunta tu...
Game plan ya Klopp jana ilifeli aisee japo nao wachezaji walijiaminisha ni revenge mission kuliko kwanza watulie ushindi hayo maneno ya revenge waseme kwa kunyanyua kwapa.

YNWA
😂

Ajab zote zile team zangu, ko yote matokeo kwangu ilikuwa sawa tu thou nilitaman iwe Liverpool labda Sadio mbeleni angepata kigezp cha kunyanyua Balon d Or
 

Hii ni leo hii 😂😂Na tungeshinda wajinga wajinga wa vijitimu ucharwa kama man city,man u na chelsea mngetukoma kudadeki zenu
 
Duuhh Mane anapokea £100000? Ni ndogo sana ukilinganisha kazi anayoifanya
Mane moyo wangu mweupeeee aodoke tu kwa kweli. Hawa wachezaji ni professional lazima walipwe value for money.
Dogo Mane anajituma haumii hovyo hua hana makuu akiambiwa acheze kulia, kushoto au kati huyoo anasema powa twende kazi ila sasa mshahara wake anazidiwa mpaka na Antony Martial, Patey na wengi tu na huku akiwa fire tangu atoke Afcon hakamatiki lakini FSG wanakomaa na Salah tuu usije shangaa hata Diaz usajili wake ni kwa ajili ya kumuuza Mane. Yaaani tuna wamiliki wa ajabu sanaaa hawafahamu kwamba Arsenal, Manchester United, Chelsea ipo siku watakaa sawa na ushindani utakua mkali sana hivyo hii chance ya kushindana na Kipara pekee ilikua ya kuichukulia serious sokoni mwalimu apewe mpunga wa maaana. Kuna wachezaji wengi wa bei powa Uholanzi, Ufaransa nk ni suala la Klopp awezeshwe bila masharti ya sell to buy.

Tazama umri wa kikosi wachezaji ambao washavuka miaka 30 VVD, Firmino, Mane, Thiago, Henderson, Matip

Tazama umri hawa wanakaribia 30
Fabinho, Allison, Salah, Robbo, Keita, Ox

Mpaka hapo utaona hii cycle lazima mwalimu asaidiwe ili ku maintain ushindani klabuni na kwenye ligi.

Kwa Mane namtakia mema sana hakika amekaa miaka 6 kwetu kubwa zaidi alikuja mwenyewe bila kulazimishwa kwani alikua na ofa safi sana kutoka Manchester United lakini akawatosa na kutua Liverpool sasa tumpe heshima yake akapata changamoto mpya.

YNWA
 
😂

Ajab zote zile team zangu, ko yote matokeo kwangu ilikuwa sawa tu thou nilitaman iwe Liverpool labda Sadio mbeleni angepata kigezp cha kunyanyua Balon d Or
Duuh Don Carlos kasema Liverpool ni wepesi kwani tunatabirika uchezaji wetu hivyo hakua ma presha na ushindi...

Mane ngoja asepe zake Bayern kule pia Ballon anaweza kuipata aisee japo atahitaji kushinda UCL aisee maana ukitazama namba za Lewandoski na mpaka sasa hajaipata Ballon utaona kwa nini yule Mpolish anakomaa kwenda Barcelona dirisha hili.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom