Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kikosi bora cha Uefa msimu huu.
Siwaoni Chelsea hapo. Asanteni kwa kushiriki jamani.
YNWA
Siwaoni Chelsea hapo. Asanteni kwa kushiriki jamani.
YNWA
Quadraple FC akili zimeshawakaa sawa SasaDuuuh super man Thibaut
View attachment 2243713
View attachment 2243717
View attachment 2243720
YNWA









...Mkuu mbona siioni Manchester city ya akina Pain killer
Duuhh Mane anapokea £100000? Ni ndogo sana ukilinganisha kazi anayoifanyaHakuna mwanzo usiokua na mwisho ndugu. Huyu dogo sisemi odoke sababu hana jipya hapana ishu hapa ni model ya FSG kwenye usjili wa uza ndio nunua huku wakitupia jicho kwenye payroll sasa kama Klopp atahitaji kuingia sokoni hakuna namna lazima hapa aamue kuuza ili aedane na matakwa ya FSG... Kwa hawa wamiliki ni kikwazo kwa Klopp kua n kikosi cha ushindani kwenye nafasi muhimu. Usione akina Mane wanasepa zao ni kwamba ni michosho kukuza hii brand huku wakilipwa kiduchu, tazama Sancho anakula £350k kwa wiki huku Mane akilipwa £100k kwa wiki na umri ndio huo umekwenda vile duuh.. Maisha noma sanaa..
Wewe tazama kwa Manchester City bila kuuza wamesajili ma fowadi wawili Erling na Alvarez hii inatuma ujumbe kwa wengine tujipange.
Na Chelsea mnaelekea kua chini ya 'FSG' wapya maana na huyo bosi mpya ni Yankees hivyo mjiadae kuuza ndio mnunue
YNWA
Dah! Alimzuia vilivyo Vinicius jr, basi tu bahati mbaya tu tukafungwa jana sikulala nilikuwa naweweseka usiku mzima kufungwa sio poa


😂Don Carlos sio mtu mzuri kabisa. Timu imejaa vibabu Kross, Benzema, Modric nk lakini duuuh ni utulivu yaaani wanatuacha mpira tucheze sie wao ni kaunta tu...
Game plan ya Klopp jana ilifeli aisee japo nao wachezaji walijiaminisha ni revenge mission kuliko kwanza watulie ushindi hayo maneno ya revenge waseme kwa kunyanyua kwapa.
YNWA
Huyo mpemba anafanya nini kwenye hicho kikosi, toa hiyo takataka weka Vin.Kikosi bora cha Uefa msimu huu.
View attachment 2243676
Siwaoni Chelsea hapo. Asanteni kwa kushiriki jamani.
YNWA
Mnatia huruma mmeishia kusheherekea tukikombe twa kahawa. Kocha wa hovyo.
Kama twa kahawa ulishiriki ili iweje?😂😂,wew upo buza,unasema twa kahawa, wenzako wapo England wanashindaniaMnatia huruma mmeishia kusheherekea tukikombe twa kahawa. Kocha wa hovyo.
Mane moyo wangu mweupeeee aodoke tu kwa kweli. Hawa wachezaji ni professional lazima walipwe value for money.Duuhh Mane anapokea £100000? Ni ndogo sana ukilinganisha kazi anayoifanya
Duuh Don Carlos kasema Liverpool ni wepesi kwani tunatabirika uchezaji wetu hivyo hakua ma presha na ushindi...😂
Ajab zote zile team zangu, ko yote matokeo kwangu ilikuwa sawa tu thou nilitaman iwe Liverpool labda Sadio mbeleni angepata kigezp cha kunyanyua Balon d Or


































