Mkuu hawa FSG ubahiri wao unaleta haya machungu yote yaaani kwa uwepo wa Klopp Liverpool ilitakiwa mpaka sasa tuwa pazuri zaidi ya hapa lakini hawatoi ela ya usajili inapotokea fursa ya kuboresha kikosi wao wanakomaa na sell to buy manenos...
Hii timu inahitaji sasa kusukwa upya maana ukiszikiliza maneno ya Babu Don Carlos anasema Liverpool ni wepesi sana kucheza nao kwani wana mfumo mmoja tu na ni rahisi kuwazuia..
Sasa unajiuliza lini Klopp atapewa sapoti sokoni ya kupewa mchezaji design ya Debruyne au Gerrard atakaeleta magoli nje ya kumi 18 pale tumebanwa kama jana.
Thiago ni kipaji lakini akiwa na siku mbaya kazini kama jana ni mzigo na hii inatokana na benchi kupwaya hivyo kumlazimu acheze huku anaumwo matokeo yake ndio alivyocheza jana....
Jana tumepoteza mipira mingi sana kwa Salah na Thiago yaaani sijui revenge iliwakaa sana kichwani kulikoni kusaka matokeo uwanjani...
My wish list usajili ni angalau wawili inatosha sana
Benfica Nunez Forward
Porto Octavio AM
Brighton Bissouma CM
Chelsea Gallagher dynamic
Westham Bowen forward
Aberdeen Ramsey RB
Barcelona Gavi CM
Bayern Gnabry dynamic
Leverkusen Schick dynamic
Roma Zaniolo
Roma Pellegrini
Inter Martinez
Betis Fekir
Wakuodoka bure ana ela
Mane duuh will miss the boy.
Firmino
Ox
Milner
Keita
Phillips
Neco
Henderson
YNWA