Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aiseee naona umeimbuka kwa bwebwe zote...

Haya ndugu wewe faino materio hujakutana na huyo Real Madrid msimu huu tena mara mbili?? Na ukaambulia kipigo safiii bila ubishiiii.

Sio Chelsea, sio Manchester City mwenye mdomo mbele ya Real Madrid wote tumepigika roho safiiiiii bila majibu

YNWA
Kawapiga kwa uzoefu tu sio ubora wa kikosi
 
Kawapiga kwa uzoefu tu sio ubora wa kikosi
Don Carlos sio mtu mzuri kabisa. Timu imejaa vibabu Kross, Benzema, Modric nk lakini duuuh ni utulivu yaaani wanatuacha mpira tucheze sie wao ni kaunta tu...
Game plan ya Klopp jana ilifeli aisee japo nao wachezaji walijiaminisha ni revenge mission kuliko kwanza watulie ushindi hayo maneno ya revenge waseme kwa kunyanyua kwapa.

YNWA
 
Naona mnalalamika sana Liverpool kufungwa jana. Ila kwa mashabiki halisi wa mpira waliotazama mpira wanajua kabisa jana bahati haikuwa upande wetu. Mistake moja tu ilitukost, tulikosa nafasi 3 za wazi , hii madrid mnayomsifia jana amepiga shoot on target 1 tu. Tukubali sometimes bahati huamua matoke. Kama zile gori mbili ziligonga mwamba zingeingia maana yake leo hiii liver angekungua ni bingwa. hebu angalia takwimu hapa
Screenshot_20220529-124322.jpg
 
We win some,we lose some!...Tutashinda tena awamu nyingine

Mnakuja mnajaa jaa hapa, timu yetu nzuri sana, wanaume ndio tunacheza fainali kama hizi
Next time,we win big 💪💪

YNWA
 
Naona mnalalamika sana Liverpool kufungwa jana. Ila kwa mashabiki halisi wa mpira waliotazama mpira wanajua kabisa jana bahati haikuwa upande wetu. Mistake moja tu ilitukost, tulikosa nafasi 3 za wazi , hii madrid mnayomsifia jana amepiga shoot on target 1 tu. Tukubali sometimes bahati huamua matoke. Kama zile gori mbili ziligonga mwamba zingeingia maana yake leo hiii liver angekungua ni bingwa. hebu angalia takwimu hapaView attachment 2243319
Tupo vizuri,tuna uwezo wa kucheza na timu yeyote ile kubwa duniani.

Next time,we win again
 
Siri ya Rea Madrid jana kushinda
  1. Historia iliwabeba
  2. Luiz Dias aliwekwa chini ya ulinzi na afande Cravajal, alipojaribu kwenda katikati akakutana na kijana Militao
  3. Mane akapotezwa kabisa na Militao
  4. Mendy binamu yake na Mendy wetu akala sahani moja na Salah na TAA
  5. Tibaut Courtois akalifanya eneo la golini kwake ni eneo takatifu hakuna takataka yeyote aliruhusiwa kwenda hapo
  6. Vinicius Juniuor alikuwa akibembea na kuuchukua mpira anavyotaka
 
Naona mnalalamika sana Liverpool kufungwa jana. Ila kwa mashabiki halisi wa mpira waliotazama mpira wanajua kabisa jana bahati haikuwa upande wetu. Mistake moja tu ilitukost, tulikosa nafasi 3 za wazi , hii madrid mnayomsifia jana amepiga shoot on target 1 tu. Tukubali sometimes bahati huamua matoke. Kama zile gori mbili ziligonga mwamba zingeingia maana yake leo hiii liver angekungua ni bingwa. hebu angalia takwimu hapaView attachment 2243319
Shida yenu wezenu walipofungwa mlitia sana domo kaya
PSG walifungwa , Chelsea tukafungwa, City wakafungwa then Liva mkatundikwa yote bahati mbaya
Kuna kitu Real Madrid wanayo ambayo hizi timu zote zilizofungwa hawana
  1. Kwanza wanaenda kucheza na mahesabu very simple, 1+2 = 3, wengine tunaenda kucheza na complex equations
    1653819295595.png
    mpaka tunashindwa kufumbua wenyewe
  2. Pili wana wachezaji wachanga wenye kubalisha matokeo na kipa bora duniani
  3. Tatu walienda na strategy sio kucheza a footbal "Business as Usual"
  4. Nne walisoma mchezo na kuuelewa na kubadilika sawasawa na madhaifu waliogundua kwa oponent, game zote hasa ya Chelsea , Man city na Liverpool
  5. Kule nyuma maelekezo ya kocha kuhusu ulinzi shirikishi yalifuatwa bila makosa, kila mchezaji alikaba na kusafisha mipira zembe golini
 
Sasa hivi mambo yamebadilika sana ili kuchungua ubingwa wa EPL au UCL inabidi timu iwe na mentality ya kushinda kila mechi inabidi tiwe iwe na mentality ya Ugiant kama ilivyo Bayern Munich kupiga vitimu vyote nyumbani na ugenini. Na hili linawezekekama EPL, Guardiola ameproove hili kwa kutupilia mbali mambo ya kusema sijui EPL ni ngumu,sijui kushinda mechi karibia zote ni ngumu yeye hakujali hilo kwahiyo amejitengenezea Ugiant England. Liverpool inabidi muepukane na utamaduni wa kugawana na point na hizi timu mnazoziita top six ndo mchukue ubingwa, msimu huu mlikuwa vizuri sana lakini mkashindwa kuchukua point angalau tatu kwa City, Tottenham na Chelsea. Hamuwezi kuchukua ubingwa kwa kutegemea timu nyingine zimsimamishe mshindani wenu ili nyie mtwae ubingwa.
Kumbuka hata City alidondosha point kwa Spurs na Chelsea na pia kwetu alidondosha kama tulivyo fanya sisi, Mechi iliyotugharimu kufungwa na W.Ham
 
Hapa tutapiga kambi week nzima nahamtufanyi kitu mkitaka mtuuwe. Mnakelele sana mashabiki wa Liverpool hadi mnakera.
Usije kuwa mtu wa Man u tu mtuambie tu tunazika au tunasafirisha 😛 😛 jamani matanga mwisho siku moja hamjui kama kuna vita Ukraine mafuta ya kula bei juu.
 
Naona mnalalamika sana Liverpool kufungwa jana. Ila kwa mashabiki halisi wa mpira waliotazama mpira wanajua kabisa jana bahati haikuwa upande wetu. Mistake moja tu ilitukost, tulikosa nafasi 3 za wazi , hii madrid mnayomsifia jana amepiga shoot on target 1 tu. Tukubali sometimes bahati huamua matoke. Kama zile gori mbili ziligonga mwamba zingeingia maana yake leo hiii liver angekungua ni bingwa. hebu angalia takwimu hapaView attachment 2243319
Kwenye football hakuna mtu wa kuaangalia huo upuuzi Tena ...wewe ni loser kaa pembeni ...

Hata kama ungegonga post mara mia ,ukatengeneza nafasi 100 ,ukakosa penalty kama hujafunga wewe ni fala TU
 
Aise timu za Spain ni bora kuliko za EPL.

Moto tu alio pelekewa man city dhidi ya A.madrid,hatari sana.

Ule moto wa Villarreal dhidi ya Liverpool first half ilikuwa noma.

Madrid kaja kuonesha ubora zaidi.

ATTACK WINS YOU GAMES,DEFENCE WINS YOU TITLES
Tatizo ligi ya laliga haina pesa so timu zao zinakamia sana uefa maana ndo yenye pesa na ukibishanisha kiligi utakita ni madrid na barca tu ndo waliochukua kombe la uefa nyingine hazijawahi lakini epl kuna timu 5 ambazo zilishawahi kulichukua hilo kombe.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Naona mnalalamika sana Liverpool kufungwa jana. Ila kwa mashabiki halisi wa mpira waliotazama mpira wanajua kabisa jana bahati haikuwa upande wetu. Mistake moja tu ilitukost, tulikosa nafasi 3 za wazi , hii madrid mnayomsifia jana amepiga shoot on target 1 tu. Tukubali sometimes bahati huamua matoke. Kama zile gori mbili ziligonga mwamba zingeingia maana yake leo hiii liver angekungua ni bingwa. hebu angalia takwimu hapaView attachment 2243319
Hata wewe Liverpool kufika finali ni Bahati tu, ebu angalia timu zote ulizokuwa umecheza nazo kabla ya kufika fainali huoni kuwa ulikuwa na bahati sana ukilinganisha na timu zingine, kubali tu kuwa umeshindwa.
 
Huo uwezo wa kuwin again unaosasa! hiyo ndo imetoka you're loosefool,
Acha makasiriko na timu isiyo kuhusu, wanaume ndio tunaocheza final km hizi.
Mtabaki kua watazamaji tu

Punguza kiherehere
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom