Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Timu hizi zinkuwa tofauti kwenye finali na usiombe kukutana nazo
Chelsea
Real Madrid

Jiondoshe kwenye hilo Kundi, Kwa kipindi chote umecheza Fainali 3 tu ambazo umeshinda 2 na kufungwa 1 sasa uhalali wa kusema wewe ni Tishio kwenye Fainali huwezi kuwanao.

Hata Liverpool Fainali 4 mfululizo za mwanzo hakupoteza akaja akapoteza ya 5.
 
Mana na Salah wanaondoka

Gnabry akicheza Winga ya kulia
Diaz akicheza Winga ya kushoto
Kati kati atafutwe Striker kwasababu Origi pia kaondoka atabaki Jota pekeyake ambaye kiukweli ni Squad player.
 
Mohamed Salah lost the UEFA Champions League final, Premier League trophy by a point, AFCON final and FIFA World Cup qualification in just two months
 
Chelsea Season vs Liverpool Season

Super cup- £4m
Club World Cup- £4.5m

Carabao Cup- £100k
FA cup- £1.8m

Extra £15m for Hazard winning the UCL vs Liverpool
Iv kumbe FA cup Ina ela mbuzi ivyo😳😳
Hii ya karabao Ni mshaara wa Mane wa wiki moja😂😂
Kwa hazard ni 25m mkuu
 
Msimu huu chelsea kacheza fainali ngapi na kachukua ngapi?

Mnalazimisha tu Kwa sababu Liverpool kafungwa ndio tukubali tu kila kitu?

Chelsea mbona ya kawaida sana haina maajabu yoyote.
Jana ni fainali ya tatu msimu huu tumeshindwa kupata goli kwenye open play hii sio ishara nzuri kabisa..

Mechi ya jana ilikua ya 63 msimu huu tumecheza hakika ni mechi nyingi kama wachezaji wamejituma sana mpaka kufika hapa lakini pamoja na jitahada hizo tuna mapungufu pale kati na straika mmoja anahitajika..

YNWA
 
Nadhani huu uzi wa Liverpool ni watu wanajadiliana team yao kwa mazuri na mabaya sasa hawa wanaacha uzi wa team zao kutwa wanashinda humu kuongelea Liverpool inaonesha sisi ni kama maji utayanywa tu.
Tatizo mlizidi maneno. Ngoja wawanyooshe!
 
Twende mazima kwa

1.Gnaby
2.Bowen(nawasiwasi atakuwa floper)
Mkuu hawa FSG ubahiri wao unaleta haya machungu yote yaaani kwa uwepo wa Klopp Liverpool ilitakiwa mpaka sasa tuwa pazuri zaidi ya hapa lakini hawatoi ela ya usajili inapotokea fursa ya kuboresha kikosi wao wanakomaa na sell to buy manenos...
Hii timu inahitaji sasa kusukwa upya maana ukiszikiliza maneno ya Babu Don Carlos anasema Liverpool ni wepesi sana kucheza nao kwani wana mfumo mmoja tu na ni rahisi kuwazuia..
Sasa unajiuliza lini Klopp atapewa sapoti sokoni ya kupewa mchezaji design ya Debruyne au Gerrard atakaeleta magoli nje ya kumi 18 pale tumebanwa kama jana.
Thiago ni kipaji lakini akiwa na siku mbaya kazini kama jana ni mzigo na hii inatokana na benchi kupwaya hivyo kumlazimu acheze huku anaumwo matokeo yake ndio alivyocheza jana....
Jana tumepoteza mipira mingi sana kwa Salah na Thiago yaaani sijui revenge iliwakaa sana kichwani kulikoni kusaka matokeo uwanjani...

My wish list usajili ni angalau wawili inatosha sana
Benfica Nunez Forward
Porto Octavio AM
Brighton Bissouma CM
Chelsea Gallagher dynamic
Westham Bowen forward
Aberdeen Ramsey RB
Barcelona Gavi CM
Bayern Gnabry dynamic
Leverkusen Schick dynamic
Roma Zaniolo
Roma Pellegrini
Inter Martinez
Betis Fekir

Wakuodoka bure ana ela
Mane duuh will miss the boy.
Firmino
Ox
Milner
Keita
Phillips
Neco
Henderson

YNWA
 
Jana ni fainali ya tatu msimu huu tumeshindwa kupata goli kwenye open play hii sio ishara nzuri kabisa..

Mechi ya jana ilikua ya 63 msimu huu tumecheza hakika ni mechi nyingi kama wachezaji wamejituma sana mpaka kufika hapa lakini pamoja na jitahada hizo tuna mapungufu pale kati na straika mmoja anahitajika..

YNWA

Mkuu hilo liko wazi sio lakujadili na Klopp atakuwa kaliona watafanya maamuzi .

Ngoja tuone tunasajiri nani na nani?

Na tukisajiri twende na hela nyingi kama tulivyofanya kwa vvd na allison.yaani tuchukue watuwakueleweka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom