Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,110
- 1,226
Mpira ni dk tisini nyie waropokaji mlishaaibishwa na Don Carlos Ancelotikwa sasa hawana cha kuongea wanatetemeka ,wanajua kabisa timu lao bovu ,wanasubili uwanjani huko baadae ndio waanze kuja huku kumwagika
Subili baada ya game utawaona,saizi wanapita tuu ,maana maneno waliyoongea huko nyuma wanawaza hivi kweli wataweza kuyatimiza au wataonekana vilaza
"Quadraple FC "
