Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kwa sasa hawana cha kuongea wanatetemeka ,wanajua kabisa timu lao bovu ,wanasubili uwanjani huko baadae ndio waanze kuja huku kumwagika

Subili baada ya game utawaona,saizi wanapita tuu ,maana maneno waliyoongea huko nyuma wanawaza hivi kweli wataweza kuyatimiza au wataonekana vilaza

"Quadraple FC "
Mpira ni dk tisini nyie waropokaji mlishaaibishwa na Don Carlos Anceloti
 
kwa sasa hawana cha kuongea wanatetemeka ,wanajua kabisa timu lao bovu ,wanasubili uwanjani huko baadae ndio waanze kuja huku kumwagika

Subili baada ya game utawaona,saizi wanapita tuu ,maana maneno waliyoongea huko nyuma wanawaza hivi kweli wataweza kuyatimiza au wataonekana vilaza

"Quadraple FC "
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii tuzo ni ya Klopp haina mjadala.

Yaaani haya ma sare ndio yametuvurugia msimu maana kufungwo mechi 2 kwa 3 mashindano yote mpaka sasa sio levo za kawaida kwa vijana. Wamejiwekea viwango vya juu sana...

Bila Klopp kuingia sokoni pale kati paimarishwe naona tutazidi kua na ma sare mengi tena msimu ujao. Ubora wa mabeki na washambuliaji waliopo ni tosha lakini pale kati ukiwaodoa Fabinho na Thiago wengine wote sio levo za Liverpool. Klopp apasafishe pale kati haraka sana kupisha usajili mpya. Keita, Ox, Milner, Henderson hawana consistency ya kuleta tunachokitaka na Jones, Elliott hawa wanafaa kua sub ama Klopp awatoe kwa mkopo kuwapa uzoefu zaidi.
Akitua Bissouma au Tchouameni tutakua sorted kwa miaka mingi ijayo.

YNWA
Duuh,tusubiri tuone maana licha ya kufanya vizuri ninajiuliza kwanini Klopp hana tuzo yoyote ya mwezi tangu August
 
View attachment 2217443


Chugga man naona mmiliki wako mpya kumbe ni boss zaidi ya FSG hahaha.

Angalau mnambakisha yule demu wa Roman kwa sasa awape ushauri wa kununua na kuuza na kutoa mikataba atawasaidia.

YNWA
Nyie FSG muna ela za kuunga unga inaonekana kabisa🤣🤣🤣
Adi arse8 wanawapita aise ..
Tukafanya usajili wa akili Kama Klopp Basi jua tutawasha Moto hapo msimu ujao Hadi kieleweke Yani.
 
Mkuu fainali hainaga lawama za hivyo kwa sababu mpira hauchezwi dakika 10 tu mbali ni 90+ ama 120+ hivyo muda wa kusaka ushindi unakuwepo wa kutosha kutegemea refa ushindi iliisha tangu Webb astaafu na Fergie.

Fainali ina matokea aina moja ni ushindi muda wa kawaida ama sare kwenda dakika 120 asipopatikana mshindi basi kwenda penati kusaka nani anamvua Leicester kombe hivyo Jipangeni vyema maana fainali za hivi karibuni tulivyokutana mmetoka na lawama wenyewe na sio sisi.
Tulikutana fainali ya Super Cup ukapigika
Kwa penati bila ubishi.
Tulikutana fainali ya Carabao ukapigika kwa penati bila ubishi
Tunakutana FA sasa ebu jitahidi basi kufuta huu uteja huku nasi tukisaka kombe la pili msimu huu.

Naona Lukaku ligi inaisha ndio kaiva aisee mambo mazuri darajani..

YNWA
Ngoja Leo tuone itakuwaje ..Mimi ninejipanga kwa matokeo yeyote Yale.
#CFC💙💙💙
 
Kamanda sijaona Maoni yako kuhusu game ya leo maana wewe ndio nakuona shabiki pekee wa Liverpool unayejitambua humu jamvini
Duuh Mkuu hii gemu kila nikikumbuka mechi zangu za hivi karibuni naishiwa pozi maana matokeo tumeyapata kwa shinda sana..

Mpaka sasa hii gemu ipo wazi sana.. Chelsea mechi mbili za mwisho Lukaku ameonyesha uhai fulani hapo ndio kocha atapata changamoto akomae na dogo wa big games Kai ama Lukaku au wecheze wote itakua hatari sana...

MF endapo Kante na Mateo wapo fit hii game basi tutateseka sana kwa kuwa Fabinho hayupo upande wetu..

Sioni Thomas akikumbali na vijana wake wapigwe Wembley mara ya tatu (vs Leicester FA, vs Liverpool Carabao na leo tena vs Liverpool FA) naona mapambano yatakua makali sana.

Nipo tayari kwa matokeo yoyote ndugu yangu.

YNWA
 
Ngoja Leo tuone itakuwaje ..Mimi ninejipanga kwa matokeo yeyote Yale.
#CFC💙💙💙
Ndio mpira ulivyo ndugu kwanza kufika fainali ni ujumbe tosha kwamba hatujabahatisha hivyo ikitokea mmoja akanyanyua kwapa basi tutapeana cheers na maisha yasonge maana umekua msimu wa matokeo ya kusimumua sana. Sisi kama mashabiki tume enjoi vya kutosha na sijutii kabisaa kulipalia dstv maana gemu nyingi zimekua ni burudani tosha aisee...

YNWA
 
SHALLOM GUYS

Mimi ni shabiki wa Liverpool 💓 Damu kabisa ila game ya leo sidhani kama tutashinda



1) Kwanza tutakuwa na presha kubwa sana

2) Tuna final ya UCL

3) Sijaona maandalizi ya mechi ya leo

4) Tutachukua hili kombe ili mjue na dunia nzima ijue kuwa Liverpool cyo level za England tu

5) Tuna mda mrefu hatujachukua hili kombe kwahiyo mpaka tumefika hii final mjue tua nia nalo sana


6)Kikosi chetu ni dhahabu

7) Klop ni kocha wa Viwango vingine

8) Mane?
9)Salah?
10)Boby?
11) AB1?


Tunamkaribisha Bosi Mpya kwenye game kwa kipigo 🤣🤣🤣

Jamani matokeo yoyote yatayopatikana tuyapokee 🤣🤣🤣

Liverpool 💓💗
 
Nyie FSG muna ela za kuunga unga inaonekana kabisa🤣🤣🤣
Adi arse8 wanawapita aise ..
Tukafanya usajili wa akili Kama Klopp Basi jua tutawasha Moto hapo msimu ujao Hadi kieleweke Yani.
Yaaani kwa FSG sijui nani awape ofa hii klabu waiuze tu 😀😀😀😀😀wana kocha bora ila wanajibania wenyewe makombe zaidi na ubahiri wao.

YNWA
 
SHALLOM GUYS

Mimi ni shabiki wa Liverpool 💓 Damu kabisa ila game ya leo sidhani kama tutashinda



1) Kwanza tutakuwa na presha kubwa sana

2) Tuna final ya UCL

3) Sijaona maandalizi ya mechi ya leo

4) Tutachukua hili kombe ili mjue na dunia nzima ijue kuwa Liverpool cyo level za England tu

5) Tuna mda mrefu hatujachukua hili kombe kwahiyo mpaka tumefika hii final mjue tua nia nalo sana


6)Kikosi chetu ni dhahabu

7) Klop ni kocha wa Viwango vingine

8) Mane?
9)Salah?
10)Boby?
11) AB1?


Tunamkaribisha Bosi Mpya kwenye game kwa kipigo 🤣🤣🤣

Jamani matokeo yoyote yatayopatikana tuyapokee 🤣🤣🤣

Liverpool 💓💗
OllaChuga Oc amesema matokeo yatakavyokua yupo tayari kuyapokea.. Na ndio ukweli maana upepo umekata mida mimbaya sana... Hawa wachezaji woye sio machines..

Japo naona fitness inatofautiana sana.. Kwa mfano mpaka ligi inaisha Rudiger atakua ndio mchezaji aliecheza dakika nyingi sana UK mashindano yote lakini dogo ukimtazama utaona ana amsha amsha kama vile ligi mpya..

Ngoja tuone ndugu namna gani pale kati mwalimu atapanga... Tuna rekodi nzuri sana ya ushindi mwingi msimu huu alivyo cheza HM Henderson
Tazama 👇 👇
Screenshot_20220514_161443.jpg



Kazi ipo.

YNWA
 
OllaChuga Oc amesema matokeo yatakavyokua yupo tayari kuyapokea.. Na ndio ukweli maana upepo umekata mida mimbaya sana... Hawa wachezaji woye sio machines..

Japo naona fitness inatofautiana sana.. Kwa mfano mpaka ligi inaisha Rudiger atakua ndio mchezaji aliecheza dakika nyingi sana UK mashindano yote lakini dogo ukimtazama utaona ana amsha amsha kama vile ligi mpya..

Ngoja tuone ndugu namna gani pale kati mwalimu atapanga... Tuna rekodi nzuri sana ya ushindi mwingi msimu huu alivyo cheza HM Henderson
Tazama 👇 👇
View attachment 2224304


Kazi ipo.

YNWA
OllaChuga Oc amesema matokeo yatakavyokua yupo tayari kuyapokea.. Na ndio ukweli maana upepo umekata mida mimbaya sana... Hawa wachezaji woye sio machines..

Japo naona fitness inatofautiana sana.. Kwa mfano mpaka ligi inaisha Rudiger atakua ndio mchezaji aliecheza dakika nyingi sana UK mashindano yote lakini dogo ukimtazama utaona ana amsha amsha kama vile ligi mpya..

Ngoja tuone ndugu namna gani pale kati mwalimu atapanga... Tuna rekodi nzuri sana ya ushindi mwingi msimu huu alivyo cheza HM Henderson
Tazama 👇 👇
View attachment 2224304


Kazi ipo.

YNWA
Mkuu acha tu japo napenda sana tushinde ila kila nikijiangalia hali niliyonayo upepo umekata kabisa
Wakati hawa ambao watusumbua vichwa city anajipigia tu
Mungu leo awe upande wetu kwakweli leo daah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom