Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu hata akibaki tatizo liko wapi? Mbona OX ,Henderson na Jones wapo hausemi wauzwe kwamba wanakula mishahara ya bure?

Me naona salah abakie tu sijaona ulazima wa kuuzwa kuzidi hao niliokuambia hapo.

Tunajua tu salah hayuko sawa kwa sasa ila atakuwa sawa tu msimu ujao.

View attachment 2222090
Ni maoni yangu lakini mkuu

Ya kwako pia siyapingi
 
Hao ulio wataja walikuwepo au hawakuwepo?View attachment 2221884View attachment 2221887

Yani sikuhizi umekuwa laughing stock utadhani hii ID umekuwa hacked.

Man City huyuhuyu tumecheza naye michezo miwili ya Ligi akiwa kamili na tumetoka sare yote then amekuwa tishio?

Yani Mindsets za washabiki wa Rent Boys na City hazina tofauti! Ukitoa sare na Timu zao wanakisifu huna uwezo wa kuwafunga, sasa unaweza kujiuliza ni Liverpool pekee ndiye aliyepaswa kufunga hawa wengine hawakupaswa kufunga hata iwe Liverpool ndiyo hana uwezo wa kufunga?
 
Adjustments.jpg
 
Son kufunga magoli 21 bila ya Penalty hata 1 ni wazi amewin public sympathy kwa upande wangu.

Namsapoti Son ndiye awe Mchezaji bora wa EPL, pia nasapoti ashinde ashinde Kiatu cha Mfungaji bora na iwapo tutashinda CL nasapoti Mane apate Ballon D'or.
Kuna Mtu anataka afundishwe adabu kuwa Mkamia maji hayanywi na Team work ndiyo inayoleta mafanikio.
 
Adjustments.jpg



Adjustments.jpg





Tayari Nimeshapiga kura yangu young player of the season na manager of the season Halafu matokeo yakitoka tukiongoza watu waje waseme tumependelewa Na wakati kura hawaja piga sasa angeshinda vipi wanaomtaka na wakati wajampigia kura?
 
"To win all three trophies we must win all four games. This is the tough situation"
-Klopp
 
Kama ameweza kushinda mechi zaidi ya 30. Kwanini iwe ngumu kushinda mechi nne?
Usifananishe hizi mechi za yale mazoezi
Every single match kati ya hizo ni fainali na kila mechi ina presure, stress, woga na fatiq yake, timu nzuri inaweza ikacheza hovyo
Katika hizo match usije ukastaajabu unondoka kapa au 0 kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom