Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Duuh Mkuu hii gemu kila nikikumbuka mechi zangu za hivi karibuni naishiwa pozi maana matokeo tumeyapata kwa shinda sana..

Mpaka sasa hii gemu ipo wazi sana.. Chelsea mechi mbili za mwisho Lukaku ameonyesha uhai fulani hapo ndio kocha atapata changamoto akomae na dogo wa big games Kai ama Lukaku au wecheze wote itakua hatari sana...

MF endapo Kante na Mateo wapo fit hii game basi tutateseka sana kwa kuwa Fabinho hayupo upande wetu..

Sioni Thomas akikumbali na vijana wake wapigwe Wembley mara ya tatu (vs Leicester FA, vs Liverpool Carabao na leo tena vs Liverpool FA) naona mapambano yatakua makali sana.

Nipo tayari kwa matokeo yoyote ndugu yangu.

YNWA
Mashabiki wenye akili timamu wako Kama hivi! Kuna wengine huwa mahaba yanawazidi wanaenda nje ya uhalisia.

Binafsi nami hii game naipa 50/50.
 
Huyu awe sub tu maana naye anakuwaga na mikimbio mingi mpaka anasahaugi mpira nyuma ila makosa yake yanafichwa na Keita Thiago. Fabinho bora akae bench ili akiingia yeye na Mr Super Sub ORIGI tupate hata Maisha ya furaha 🤣🤣🤣🤣
🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿Mkuu Fabinho majeruhi aisew hayupo mpaka pengine tarehe 28 fainali ya Uefa.

Origi bhana hua ni super sub nilitegemea kumuona akipata hio nafasi gemu ya Tottenham ajabu akaingia Keita matokeo tukatoka sare... Leo hakuna cha sare hapa lazima bingwa apatikane.

YNWA
 
View attachment 2224305
Mnasema aje dogo aanze au awe super sub.

YNWA
Huyu awe sub tu maana naye anakuwaga na mikimbio mingi mpaka anasahaugi mpira nyuma ila makosa yake yanafichwa na Keita Thiago. Fabinho bora akae bench ili akiingia yeye na Mr Super Sub ORIGI tupate hata Maisha ya furaha
🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿Mkuu Fabinho majeruhi aisew hayupo mpaka pengine tarehe 28 fainali ya Uefa.

Origi bhana hua ni super sub nilitegemea kumuona akipata hio nafasi gemu ya Tottenham ajabu akaingia Keita matokeo tukatoka sare... Leo hakuna cha sare hapa lazima bingwa apatikane.

YNWA
Najua leo hatuna kiungo mwembamba mwenye kazi kubwa sana Fabinho daah leo sijui tunaanzaje maana wengine wanafaaga wawe sub

Keita akianza yeye ajabu yake anapenda sana kupanda mbele anapaacha kati wazi uwiiii. Ox naye yule yule ila kuna yule dogo Jones anafaa sana pale
 
SHALLOM GUYS

Mimi ni shabiki wa Liverpool Damu kabisa ila game ya leo sidhani kama tutashinda



1) Kwanza tutakuwa na presha kubwa sana

2) Tuna final ya UCL

3) Sijaona maandalizi ya mechi ya leo

4) Tutachukua hili kombe ili mjue na dunia nzima ijue kuwa Liverpool cyo level za England tu

5) Tuna mda mrefu hatujachukua hili kombe kwahiyo mpaka tumefika hii final mjue tua nia nalo sana


6)Kikosi chetu ni dhahabu

7) Klop ni kocha wa Viwango vingine

8) Mane?
9)Salah?
10)Boby?
11) AB1?


Tunamkaribisha Bosi Mpya kwenye game kwa kipigo

Jamani matokeo yoyote yatayopatikana tuyapokee

Liverpool
Presha wanayo Chelsea wakipoteza leo itakuwa fainali ya nne mfululizo kupoteza hapo wembley 3 za Fa na 1 ya Carabao cup
 
Mashabiki wenye akili timamu wako Kama hivi! Kuna wengine huwa mahaba yanawazidi wanaenda nje ya uhalisia.

Binafsi nami hii game naipa 50/50.
Mkuu tukiweka ushabiki pembeni lazima tuseme ukweli Thomas msimu huu majeruhi yamemgharimu na gemu tulizokutana nao zote hakika zili balance sana sare ya moja moja na sare ya 2 2 na mwishowe penati 22 Carabao mpaka kuja kupatikana bingwa..

Gemu ni ngumu sana na presha ipo kwetu kutokana na haya maneno Liverpool anyakue Carabao, FA, Uefa na pengine EPL..

YNWA
 
IMG_20220514_164003_751.jpg


Loadinggggggggggg😂😂😂😂😂😂😂

YNWA
 
Presha wanayo Chelsea wakipoteza leo itakuwa fainali ya nne mfululizo kupoteza hapo wembley 3 za Fa na 1 ya Carabao cup
Mwenye nacho ndo mwenye presha Chelsea hata akipoteza ataonekana ni kawaida kwao ila Liverpool akipoteza ataonekana kama vile hayupo serious mkuu
 
SHALLOM GUYS

Mimi ni shabiki wa Liverpool 💓 Damu kabisa ila game ya leo sidhani kama tutashinda



1) Kwanza tutakuwa na presha kubwa sana

2) Tuna final ya UCL

3) Sijaona maandalizi ya mechi ya leo

4) Tutachukua hili kombe ili mjue na dunia nzima ijue kuwa Liverpool cyo level za England tu

5) Tuna mda mrefu hatujachukua hili kombe kwahiyo mpaka tumefika hii final mjue tua nia nalo sana


6)Kikosi chetu ni dhahabu

7) Klop ni kocha wa Viwango vingine

8) Mane?
9)Salah?
10)Boby?
11) AB1?


Tunamkaribisha Bosi Mpya kwenye game kwa kipigo 🤣🤣🤣

Jamani matokeo yoyote yatayopatikana tuyapokee 🤣🤣🤣

Liverpool 💓💗

Mshabiki wa Liverpool hawezi kuwa na Mindset hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom