Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220513_185027_com.android.chrome_edit_191914457691027.jpg


Mara pap we hammer Real Madrid kwa fainali itakua jambo njema sana Mane kukaribia uflame wa Ballon.

YNWA
 
Tuzo ya Kipara

Mkuu me nimeshapiga kura yangu,wewe ukapige kura asije kushinda mwingine mkalalamika kumbe ujapiga kura,unakazi kupiga domo mitandaoni.

Inakuwa kama ile tuzo ya goli bora la puskas watu wakawa wanasema goli la salah halikustahili sio zuri lakini hayo magoli mazuri hawajayapigia kura.
 
Nikianhalia kikosi cha Liverpool Kisha nikija nikichk Madrid nawaonea huruma sana Hawa mabeki wa Liverpool maana kama namuina TAA au Robertson akienda kulala na viatu
 
Mkuu nimesha piga kura yangu.klopp ndio kocha aliefungwa mechi chache kuwashinda wote hao waliopo. Kafungwa Mechi mbili tu.
Kama tukichukua epl basi hii tuzo anachukua pep tena kwa lazima sio ombi ,hata kama wakimpigia kura au wasipompigia .....

Hayo mengine utabaki ubwabwaja huku jf ...!
 
Unamanisha kikosi kipi Cha Madrid au Cha Chelsea ??Labda umesahau

Maana Liverpool badaee Jioni ana fainal ya FA
Achana na huyo shabiki wa Arse8 bado anaugulia kichapo cha spurs network imestuck
 
Nikianhalia kikosi cha Liverpool Kisha nikija nikichk Madrid nawaonea huruma sana Hawa mabeki wa Liverpool maana kama namuina TAA au Robertson akienda kulala na viatu
Vipi na wewe unayeenda kushiriki Europa league hujionei huruma kukosa top four
 
Mkuu nimesha piga kura yangu.klopp ndio kocha aliefungwa mechi chache kuwashinda wote hao waliopo. Kafungwa Mechi mbili tu.
Hii tuzo ni ya Klopp haina mjadala.

Yaaani haya ma sare ndio yametuvurugia msimu maana kufungwo mechi 2 kwa 3 mashindano yote mpaka sasa sio levo za kawaida kwa vijana. Wamejiwekea viwango vya juu sana...

Bila Klopp kuingia sokoni pale kati paimarishwe naona tutazidi kua na ma sare mengi tena msimu ujao. Ubora wa mabeki na washambuliaji waliopo ni tosha lakini pale kati ukiwaodoa Fabinho na Thiago wengine wote sio levo za Liverpool. Klopp apasafishe pale kati haraka sana kupisha usajili mpya. Keita, Ox, Milner, Henderson hawana consistency ya kuleta tunachokitaka na Jones, Elliott hawa wanafaa kua sub ama Klopp awatoe kwa mkopo kuwapa uzoefu zaidi.
Akitua Bissouma au Tchouameni tutakua sorted kwa miaka mingi ijayo.

YNWA
 
Mutakuwa munamlaumu Klopp na refaree
Mkuu fainali hainaga lawama za hivyo kwa sababu mpira hauchezwi dakika 10 tu mbali ni 90+ ama 120+ hivyo muda wa kusaka ushindi unakuwepo wa kutosha kutegemea refa ushindi iliisha tangu Webb astaafu na Fergie.

Fainali ina matokea aina moja ni ushindi muda wa kawaida ama sare kwenda dakika 120 asipopatikana mshindi basi kwenda penati kusaka nani anamvua Leicester kombe hivyo Jipangeni vyema maana fainali za hivi karibuni tulivyokutana mmetoka na lawama wenyewe na sio sisi.
Tulikutana fainali ya Super Cup ukapigika
Kwa penati bila ubishi.
Tulikutana fainali ya Carabao ukapigika kwa penati bila ubishi
Tunakutana FA sasa ebu jitahidi basi kufuta huu uteja huku nasi tukisaka kombe la pili msimu huu.

Naona Lukaku ligi inaisha ndio kaiva aisee mambo mazuri darajani..

YNWA
 
Mkuu fainali hainaga lawama za hivyo kwa sababu mpira hauchezwi dakika 10 tu mbali ni 90+ ama 120+ hivyo muda wa kusaka ushindi unakuwepo wa kutosha kutegemea refa ushindi iliisha tangu Webb astaafu na Fergie.

Fainali ina matokea aina moja ni ushindi muda wa kawaida ama sare kwenda dakika 120 asipopatikana mshindi basi kwenda penati kusaka nani anamvua Leicester kombe hivyo Jipangeni vyema maana fainali za hivi karibuni tulivyokutana mmetoka na lawama wenyewe na sio sisi.
Tulikutana fainali ya Super Cup ukapigika
Kwa penati bila ubishi.
Tulikutana fainali ya Carabao ukapigika kwa penati bila ubishi
Tunakutana FA sasa ebu jitahidi basi kufuta huu uteja huku nasi tukisaka kombe la pili msimu huu.

Naona Lukaku ligi inaisha ndio kaiva aisee mambo mazuri darajani..

YNWA
Kamanda sijaona Maoni yako kuhusu game ya leo maana wewe ndio nakuona shabiki pekee wa Liverpool unayejitambua humu jamvini
 
Kamanda sijaona Maoni yako kuhusu game ya leo maana wewe ndio nakuona shabiki pekee wa Liverpool unayejitambua humu jamvini
kwa sasa hawana cha kuongea wanatetemeka ,wanajua kabisa timu lao bovu ,wanasubili uwanjani huko baadae ndio waanze kuja huku kumwagika

Subili baada ya game utawaona,saizi wanapita tuu ,maana maneno waliyoongea huko nyuma wanawaza hivi kweli wataweza kuyatimiza au wataonekana vilaza

"Quadraple FC "
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom