Mi sio man u weweDah hadi wewe uliyefungwa 4 bila na Brighton umekuja huku ...![]()

Ramli hapa itagonga mwamba maana pep hawez kubaru atolewe UCL na Epl asipambanie, hivyo imani kwangu imepotea aisee.Leo mnataka dua. Siku chache zilizopita mlisema hamumtegemei city ateleze ndipo muwe mabingwa. Sasa mmerudi kwenye ramli. Mpeni hizo salamu za ramli King Ngwaba au Rajabu
Salaah siku hizj kawa mbinafs Sana,Salah kazingua sana leo hii kwa uchoyo, la sivyo hii mechi Liverpool wangeshinda mapema sana![]()
Wewe ni Norwich city au?Mi sio man u wewe![]()
Bora klopp angemtoa mapemaa, maana sikuhizi hayupo kwenye fom kabisa.Salaah siku hizj kawa mbinafs Sana,
Leo liver angeshinda nyingi Sana, anapoteza mipira kijinga sana
Spurs leo wamenifurahisha sana, hawa sasa ndio wa kwenda CL sio AsaniAli ambae unajua kabisa anatolewa kwenye mchujo wa makundi.Wanacheza Kama villareal![]()
SunderlandWewe ni Norwich city au?

Usikate tamaa mkuu kilichotokea kwetu pia kinaweza kutokea hata kwa mwacity kumbuka kwa wenzetu hakuna kununua mechi labda tu refa ndiyo azingueYaani mpaka sasa EPL sio yetu labda tupige dua tu man shit apigwe, hz draw huwa zinatuharibia sana.
Analazimisha kupita wot anajua uwezekano wa kupita Ni mdogoBora klopp angemtoa mapemaa, maana sikuhizi hayupo kwenye fom kabisa.

Analazimisha kupita wot anajua uwezekano wa kupita Ni mdogo



huo uwezo alikuwa nao zamani sikuiz uwezo umepungua, isitoshe Totte walikuwa na defense kali sasa utawezaje kupita wote?Acha matusi dogo UCL ulilokuwa unapambania umetolewa huna cha kutuambia.Mimi nasubili may 28 mnioneshe makombe manne mbwa nyie![]()
Man u na chelsea mnapata wapi ujasiri wa kuingia huku?![]()


ukisikia niguse ninuke ndio sisi, vumilia tu mkuu hii ndio raha ya ushabiki wa mpira.Njia nyeupe umewasafishia wewe?ligi haijaisha bado mechi zipo
Huwezi chukua CL kwa kupita njia za Europa league ,unawafunga villareal et CLAcha matusi dogo UCL ulilokuwa unapambania umetolewa huna cha kutuambia.







Yaani kaniboa balaa au kwakuwa ni winger? Huu uchoyo kabisa na mechi nyingi jamaa huwa ni mchoyo sana.