Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Our African prince wapewe tu mikataba wanastahili. Wapo motooo balaaaa.
YNWA
Liverpool kwa sasa hizo mechi ngumu hatuzijui aisee kila wakisema tunapigika ama sare ndio kabisaaa...Me nasubiria mwezi huu uishe tuangalie tumeshinda mechi ngapi? Maana mwezi huu ulisemekana kwamba una mechi ngumu kwetu![]()
This will be the best way to groom Steve G.Steve G ni Bora aje akae Chini ya Klopp awe Assistant wake kwa Misimu 4 mpaka 5 ndiyo akabidhiwe Timu.
Hapo tayari atakuwa amejifunza mengi kutoka kwa Klopp kama Arteta alivyojifunza kutoka kwa Pep.
View attachment 2204158
Aisee gemu ya Aston Villa itakua ngumu balaaa maana Steve ni kama alishajiona 2024 yupo Anfield maana hata mkataba wake kasaini mpaka 2024 pale Aston Villa.
YNWA
Nimeona hii kwenye channel Yao kwenye maneno hapa chini
Hiyo carabao umepewa bure ,kufungwa mlifungwa na kombe mkapewa nyie then mnavimba et champion ,labda champion wa tandale![]()
Goal Rush.Nimeona hii kwenye channel Yao kwenye maneno hapa chini
Kweli sasa nimeamini mwamba anabaki
View attachment 2204241
️
Huwa napenda kuziangalia .
Mimi pia naicheck
Magoal tunayofunga hayachoshi kuyaangaalia, me ni mpenzi sana wa Goal Rush.Huwa napenda kuziangalia .
Kuna kavibe napata
️
Tupo pamoja, tumalizie mpaka mwisho, maana sio kwa burudani hizi.
Sijui kwanini huwa simuelewi jamaa kihivyo.
Na Matip shingo ya twiga apewe mkataba wa kufa na kuzikana




