Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220428_203832_com.android.chrome_edit_73446230849208.jpg


Legend of legends.

Shankly + Paisley = Klopp

YNWA
 
Tunamaliza EPL msimu huu kwa tarehe hizi hapa chini.
View attachment 2204011

Duuh haya mambo naona sasa yanazidi kukaza naona wiki ya mwisho ya kumaliza msimu huu EPL tunacheza gemu 3 ndani ya siku 7.

Malaika wazidi kuwalinda wachezaji wetu wabaki wazima wa afya.


YNWA

Me nasubiria mwezi huu uishe tuangalie tumeshinda mechi ngapi? Maana mwezi huu ulisemekana kwamba una mechi ngumu kwetu
 
View attachment 2204062

Tupo fresh Yaaaaaani wapinzani take note.

YNWA

Huyu tunae sana,naona Klopp ndio ameomba aongeze muda,tunavyoishi nae na yeye ameona tunashow love ya kutosha,

Ile mechi na Villarreal nahisi amekubali kuanzia kwa wachezaji kupambana uwanjani mpaka Mashabiki

Kwangu nimeona kama ghafla sana nilikuwa natarajia kwenye mwakani hivi ndio angeongeza mkataba mpya, sio leo.
 
Screenshot_20220428_203926_com.android.chrome_edit_73436073594522.jpg


Mnasema aje wakuu kuhusu hawa wachezaji je wabaki ama wasepe.
Salah
Mane
Firmino
Milner
Keita
Ox
Matip.
Origi
Gomez
Tsimikas
Taikumi

Kwangu naona hawa wasepe kwa kweli tuletee damu changa yenye mlengo tofauti.
Gomez
Keita
Milner
Ox
Origi
Taikumi

Hawa wabakie
Mane
Salah
Firmino
Matip
Tsimikas
Matip

Wafuatao wapate mkopo kama tutaongeza nguvu pale mbele
Elliot
Jones
Tsimikas

Tetesi za usajili mpya naona ni pale kati panatajwa sana.

YNWA
 
View attachment 2204123

Wa kusepa ni Minamino na Ox.
Elliot na Jones ndiyo future ya liverpool hawa wasiende popote.

Mnasema aje wakuu kuhusu hawa wachezaji je wabaki ama wasepe.
Salah
Mane
Firmino
Milner
Keita
Ox
Matip.
Origi
Gomez
Tsimikas
Taikumi

Kwangu naona hawa wasepe kwa kweli tuletee damu changa yenye mlengo tofauti.
Gomez
Keita
Milner
Ox
Origi
Taikumi

Hawa wabakie
Mane
Salah
Firmino
Matip
Tsimikas
Matip

Wafuatao wapate mkopo kama tutaongeza nguvu pale mbele
Elliot
Jones
Tsimikas

Tetesi za usajili mpya naona ni pale kati panatajwa sana.

YNWA
 
Huyu tunae sana,naona Klopp ndio ameomba aongeze muda,tunavyoishi nae na yeye ameona tunashow love ya kutosha,

Ile mechi na Villarreal nahisi amekubali kuanzia kwa wachezaji kupambana uwanjani mpaka Mashabiki

Kwangu nimeona kama ghafla sana nilikuwa natarajia kwenye mwakani hivi ndio angeongeza mkataba mpya, sio leo.
Hapana sio ghafla kumbe FSG siku nyingi sana walimpa hio ofa yeye hakutoa jibu mpaka pale aliona anaweza kuji commit tena miaka miwili.

Wala hili la matokeo ya jana halina uhusiano na yey3 kusaini.

Pazuri ni pale unasikia Klopp ndio kawapigia na kuwajuza kwamba yupo tayari kusaini hio extension.

Je unadhani usajili wa Diaz na kuambiwa anapewa sapoti Juni hii kutakua kumempa nguvu ya kuedelea kujenga upya kikosi.

Muda utasema aisee.

YNWA
 
View attachment 2204063

The spirit of Shankly lives on.

Klopp is God sent to us.

YNWA

Kabisa mkuu.

Cha ajabu wapinzani bado wamelala,wamebaki kukariri tu.liverpool tuko moto sana.ni mapema kusema ila hii Liverpool nahisi itakuwa haijawahi kutokea mpaka saizi mashindano yote tumefungwa mechi 3 tu,tunacheza fainali mashindano yote.

Me najitahidi niangalie mechi zote maana inaweza kuwa ndio Liverpool bora kuwahi kutokea sasa nisiwe nasimuliwa nataka niwe nimeishuundia kwakuangalia mechi zote.
 
View attachment 2204065

Ulla mke wa Klopp jamani huyu inabidi ajengewe sanamu maana tangu Klopp anaajiliwa hapa ni yeye ndio alichagua hii kazi kwamba inamfaa Klopp na sasa tena amechagua kubakia jiji la Anfield na mume wake aedelee na kazi.

Asante Ulla.

YNWA

Yeye ndio aliemwambia nenda Liverpool na sio Man U. Na wakati sisi tulikuwa tumeshafuria balaa lakini akaamua aje Liverpool tu.
 
IamMrLiverpool ni kweli Elliott na Jones ndio kesho yetu lakini sasa kutopata dakika za kutosha kwao itakua mitihani sana kuwajengea mazingira ya kua bora.

Tetesi ni kwamba Klopp anasaini MF moja anatajwa ni Aurelien Tchouameni anatua na dogo Fabio pia hawa sio bench warmers kusubiri Carabao au FA hawa ni kikosi cha kwanza hivyo naona kama Elliott na Jones watazidi kushuka chini umuhimu wao kikosini design kama sasa alivyo Taikumi na Ox.

YNWA
 
Yeye ndio aliemwambia nenda Liverpool na sio Man U. Na wakati sisi tulikuwa tumeshafuria balaa lakini akaamua aje Liverpool tu.
Mahaba waliyonayo hii Familia ya Klopp na hii klabu ya Liverpool ni makubwa sana.

Klopp ni old school meneja kwenye nje ya uwanja ila mwenye mbinu za kisasa kabisa uwanjani. Hii mix adimu sana kuipata yaaani tazama wenzetu wanavyoteseka hata na adabu vyumbani kama pale Manjesta unaambiwa kunawaka motoo ki ufupi wanacheza kumaliza msimu, tazama Arsenal ishu ya Ozil na Auba ni aibu mambo kama yale kutokea kwenye klabu hizi kongwe na hayo yote sababu hawana kocha mwenye authority kama alivyo Klopp.

We are LUCKY KUA NA HUYU MZEE

YNWA
 
View attachment 2204123

Mnasema aje wakuu kuhusu hawa wachezaji je wabaki ama wasepe.
Salah
Mane
Firmino
Milner
Keita
Ox
Matip.
Origi
Gomez
Tsimikas
Taikumi

Kwangu naona hawa wasepe kwa kweli tuletee damu changa yenye mlengo tofauti.
Gomez
Keita
Milner
Ox
Origi
Taikumi

Hawa wabakie
Mane
Salah
Firmino
Matip
Tsimikas
Matip

Wafuatao wapate mkopo kama tutaongeza nguvu pale mbele
Elliot
Jones
Tsimikas

Tetesi za usajili mpya naona ni pale kati panatajwa sana.

YNWA

Hapo ni ox,Milner na origi ndio wakuondoka hao wengine wahachwe,kwa hali ilivyo sasa hakuna anaetaka kuondoka akiondoka ujue mkataba umeisha.
 
Hapo ni ox,Milner na origi ndio wakuondoka hao wengine wahachwe,kwa hali ilivyo sasa hakuna anaetaka kuondoka akiondoka ujue mkataba umeisha.
Duuh mambo mazuri sanaaa Anfield yaaani kutoka timu ya kuuza mpaka kua retainers wa special talent kama akina Mane mbona tumeeleweka.

YNWA
 
Mahaba waliyonayo hii Familia ya Klopp na hii klabu ya Liverpool ni makubwa sana.

Klopp ni old school meneja kwenye nje ya uwanja ila mwenye mbinu za kisasa kabisa uwanjani. Hii mix adimu sana kuipata yaaani tazama wenzetu wanavyoteseka hata na adabu vyumbani kama pale Manjesta unaambiwa kunawaka motoo ki ufupi wanacheza kumaliza msimu, tazama Arsenal ishu ya Ozil na Auba ni aibu mambo kama yale kutokea kwenye klabu hizi kongwe na hayo yote sababu hawana kocha mwenye authority kama alivyo Klopp.

We are LUCKY KUA NA HUYU MZEE

YNWA

Manjesta licha ya kuwa na mahela yote yale lakini hayawasaidii maana mwaka wa 10 sasa hawana ubingwa na sio kawaida yao.

Wamebaki kwenye kutumia hela wakiamini zitawasaidia kumbe bado haziwasaidii kabisa wananunua wachezaji kwa gharama kubwa lakini hakuna kitu.wanabaki kugombana tu.


Klopp kaja kutufundisha mpira Aisee wengi tulikuwa hatuujui vizuri kaja kutufundisha na mbinu zake Za kisasa na wachezaji wetu hao hao wa bei rahisi.
 
Manjesta licha ya kuwa na mahela yote yale lakini hayawasaidii maana mwaka wa 10 sasa hawana ubingwa na sio kawaida yao.

Wamebaki kwenye kutumia hela wakiamini zitawasaidia kumbe bado haziwasaidii kabisa wananunua wachezaji kwa gharama kubwa lakini hakuna kitu.wanabaki kugombana tu.


Klopp kaja kutufundisha mpira Aisee wengi tulikuwa hatuujui vizuri kaja kutufundisha na mbinu zake Za kisasa na wachezaji wetu hao hao wa bei rahisi.
Stamping authority in any field delivers na Klopp has authority almost in everything regarding players and football matters.

Manjesta wanakosa that stable firm Manager somebody to stand and be listened kuanzia kwenye bodi mpaka kwa mchezaji wa academy na wafanya kazi wote klabuni.

Klopp hakuja na menu ya haya mambo maana sio kila mbinu alijua itafanya kazi Liverpool ndio maana akisema apewe muda kwanza ajue kikosi alichoridhi na pia a profile wachezaji anaowataka bila kutoka nje ya bajeti maana FSG numbers kwao ndio kigezo. Mafanikio unayoona leo sio ya kubahatisha mbali ni mipango edelevu.

YNWA
 
Screenshot_20220428_204047_com.android.chrome_edit_73406497055464.jpg



Msomeni Boss la Boss Gordon anavyomzungumzia Klopp. Hakika hawa ma Yankees wanamheshimu sana Klopp kawatoa mbali sana mpaka kufika hapa hakika wampe heshima yake.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom