Hahaha tunae.Nimeona hii kwenye channel Yao kwenye maneno hapa chini
Kweli sasa nimeamini mwamba anabaki
View attachment 2204241
Anfield kumenoga sana jamani duuuhGame ngumu ilikuwa na man city pale etihad hao wengine hakuna kitu tutawapiga tu,ulichokisema hapo ilikuwa mitazamo ya kizamani sasa hivi mambo yamebadilika Liverpool inatoa kipigo kote kote sisi kufungwa mpaka wachezaji fulani wakosekane especially hapo kati.
Maana sasa hivi kila mechi lazima tufunge goli kuanzia 2 ,sasa wakitaka watufunge wafunge goli tatu na sisi tusipate hilo moja maana sisi kabla mechi haijaanza tayari tuna goli mbili mkononi.
Kabibi kanazeeka na utamu wake..huyu ndio anapelekea Hadi Klopp afanye vizuri uwanjani?? Ama kweli ukipata muke umepata maisha ...😀😀
Kati ya makombe yaliyobaki ..basi ninyi munaweza angalau hata kubeba mawili.
Mukishinda hapo basi nitawadharau sana ninyi watabe.
Huu msimu muko Bora sana.
#CFC💙💙💙
Gallagher😳😳😳View attachment 2204450
Wakuu huyo dogo mnasema aje atue kimya kimya kama Fabinho baada ya Fainali ya Champions League pale Ufaransa tumalize kila kitu kule kule.
Huyu ni dynamic Midfielder anacheza DM, HM, CM, AM hivyo ni kiraka haswaaa.
Kama akiamua kwenda Real Madrid ningependelea tushuke mazima kwa Gallagher wa Chelsea.
YNWA
Bora umekuwa mkweli👏😂😂😂Kati ya makombe yaliyobaki ..basi ninyi munaweza angalau hata kubeba mawili.
Mukishinda hapo basi nitawadharau sana ninyi watabe.
Huu msimu muko Bora sana.
#CFC💙💙💙
Huko nje wanaume wanawapa sana nafsi wanawake kwenye maamuzi Yao.





Meneja wa Wolves Bruno Lage kuhusu Ruben Neves anayehusishwa na Man United na Arsenal:
“Tunahitaji kuwa tayari kwa kila kitu. Mchezaji kama Ruben Neves ana thamani ya pauni milioni 100. Lolote linaweza kutokea, si kwa Ruben pekee.”
£100M
Kuna Team inaenda kupigwa na kitu kizito hapa![]()
dunia ina maajabu mengi sana na moja wapo ni hili la chelsea kumkimbilia bakayoko badala ya fabinho haliyakuwa wote walikuwa wanacheza MONACO.
Bwana hata Klopp mwenyewe anasema wasaidizi wake akiwemo Pep Lijnders walisaidia sana yeye kuamua kuongeza mkataba na kwa namna ambavyo Klopp anam heshimu bila shaka anastahili kua mstari wa mbele kabisa kumridhi Klopp muda ukifika.Kama naanza Kujenga Imani na Pep Lijnders kumrithi Klopp after his time at Liverpool is over.
Master pass Hahaha.Na sisi kabla ya Fabinho bado kidogo tulikuwa tupigwe na Kitu kizito kwa Joginho.
Thank you Chelsea kwa kumsajili Joginho.
Huyu mtauza tu hakuna namna maana pale kati mna wachezaji wengi tu sasa unadhani huyu anakuja kukaa benchi huku Jorginho, Kovac, Kante, Mount nk wakipata dakika zaidi..Gallagher😳😳😳
Apo weka mbali na watoto
Joginho na kante wapo ova 30 years hatuwezi kumuuza CallagerHuyu mtauza tu hakuna namna maana pale kati mna wachezaji wengi tu sasa unadhani huyu anakuja kukaa benchi huku Jorginho, Kovac, Kante, Mount nk wakipata dakika zaidi..
Yaaani naona mnajipedekeza kwa Declan Rise wa Westham wakati mnachezaji safiii kabisa Gallagher ila ndio powa ili dogo atue Liverpool
Ngoja tuone ndugu.
YNWA